Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

hapana mkuu ghz si kitu, tunatumia ghz pale tu inapokuwa same architechture mfano 2.5 ghz ya haswell na 2.7ghz ya haswell hapo hio 2.7 itakuwa kubwa sababu zote ni haswell ila archtecture zikishakuwa tofauti tu ujue tayari na perfomance zinakuwa tofauti.

mimi nimegoogle jina la carrizo uliyonipa ambayo ndio hio, angalia tena jina la cpu yako labda umekosea.

mkuu cpu za amd zenye 5ghz zinapitwa cpu za intel zenye 3ghz huo ndio ukweli, fastest cpu za amd kwa sasa ni fx9590 yenye 4.7ghz na turbo hadi 5ghz hii ni benchmark yake
PassMark - AMD FX-9590 Eight-Core - Price performance comparison

single score ni 1723

wakati ki pentium 3258 chenye 3.2ghz kina single score perfomance 2164
PassMark - Intel Pentium G3258 @ 3.20GHz - Price performance comparison

yani sahahu mkuu carrizo yoyote ya laptop kuiguza haswell ya laptop, angalia vizuri hio laptop ya rafiki yako either ina matatizo au sio 4th generation
ila bado single thread perfomance haidetermine complete cpu power ndio maana kwenye perfomance hicjo kipentium kimeachwa mbali mkuu ,, vilevile architecture zetu hazifanan , vilevile kuanzia cache size had bus speed hatufanani, ila mpaka sasa hv sijui kama umenisoma kwamba nimekubali intel is way powerful ila nazungumzia tweaks zinazoweza kuboresha amd apu , mfano hio amd fx can be overclocked kama intel k models , alafu intel nyingi bios imefungwa huwez kufanya tweaks nnazozizungumzia , ungekuwa ushawah kutumia amd ungeona tweaks hizo mkuu , unaweza kuset had bus speed , ,, na kuhusu jamaa nimekosea kidogo yake ni i5 3230M ,
 
ila bado single thread perfomance haidetermine complete cpu power ndio maana kwenye perfomance hicjo kipentium kimeachwa mbali mkuu ,, vilevile architecture zetu hazifanan , vilevile kuanzia cache size had bus speed hatufanani, ila mpaka sasa hv sijui kama umenisoma kwamba nimekubali intel is way powerful ila nazungumzia tweaks zinazoweza kuboresha amd apu , mfano hio amd fx can be overclocked kama intel k models , alafu intel nyingi bios imefungwa huwez kufanya tweaks nnazozizungumzia , ungekuwa ushawah kutumia amd ungeona tweaks hizo mkuu , unaweza kuset had bus speed , ,, na kuhusu jamaa nimekosea kidogo yake ni i5 3230M ,
mkuu sio kweli kwamba bio za intel huwezi kutweak cpu, kwenye intel pia unawwza ukalock turbo isishuke na kama nilivyokuonesha hapo juu hata amd yako uitweak iende 4hz still utapitwa na i5 ya 4th gen, hakuna cpu yoyote duniani ya amd inayoweza kucompete na sandy bridge (2nd gen) sembuse haswell?

even architechture mpya ya amd yaani bristol ridge still haijafika ipc ya sandy bridge, inategemewa cpu mpya za amd za zen ndio atleast zifikie sandy bridge level

kuhusu single thread performance ina umuhimu tena sana tu vitu kama JavaScript, open gl/cl l, flash, direct x mpaka 11 nk vinatumia sana single thread ndio maana unakuta browser, games, emulator na proffesional apps kama AUTO CAD vinataka single thread perfomance kubwa.

baadhi ya games, video editing, na app za kisasa ndio zinaweza kutumia core nyingi kwa mpigo.

angalia gaming benchmark nyingi unakuta i3 imezipita cpu za amd zenye core 8 japo i3 ina core mbili tu na hyperthread
 
mkuu sio kweli kwamba bio za intel huwezi kutweak cpu, kwenye intel pia unawwza ukalock turbo isishuke na kama nilivyokuonesha hapo juu hata amd yako uitweak iende 4hz still utapitwa na i5 ya 4th gen, hakuna cpu yoyote duniani ya amd inayoweza kucompete na sandy bridge (2nd gen) sembuse haswell?

even architechture mpya ya amd yaani bristol ridge still haijafika ipc ya sandy bridge, inategemewa cpu mpya za amd za zen ndio atleast zifikie sandy bridge level

kuhusu single thread performance ina umuhimu tena sana tu vitu kama JavaScript, open gl/cl l, flash, direct x mpaka 11 nk vinatumia sana single thread ndio maana unakuta browser, games, emulator na proffesional apps kama AUTO CAD vinataka single thread perfomance kubwa.

baadhi ya games, video editing, na app za kisasa ndio zinaweza kutumia core nyingi kwa mpigo.

angalia gaming benchmark nyingi unakuta i3 imezipita cpu za amd zenye core 8 japo i3 ina core mbili tu na hyperthread
sijasema huwez kutweak namaanisha nyingi hauwez, nakubali kuwa mwa benchmark tu intel inatisha , twende kwenye exactly work load af utaona the difference f you're building a gaming PC, you should be using a graphics card rather than relying on a CPU , basically inabd ujue tu ni nn unahitaji , cpu nzuri inahitaji gpu nzuri ili uweze kuiexploit vizur , mfano hapa naona cpu yako ina gpu ya intel kwahio hata cpu yako ikiwa powerful kiasi gani huwez kucheza game, gd, bitcoin mining effectively kuliko apu yangu japo unasema ni weak , mimi nakubalcombination nzuri ni intel cpu + amd/nvidia gpu ,, ila combination ya intel full ni ya hovyo bora amd full, ndio maana mac wanasema it sucks in gaming pamoja na kuwa mac pro zina iris
 
sijasema huwez kutweak namaanisha nyingi hauwez, nakubali kuwa mwa benchmark tu intel inatisha , twende kwenye exactly work load af utaona the difference f you're building a gaming PC, you should be using a graphics card rather than relying on a CPU , basically inabd ujue tu ni nn unahitaji , cpu nzuri inahitaji gpu nzuri ili uweze kuiexploit vizur , mfano hapa naona cpu yako ina gpu ya intel kwahio hata cpu yako ikiwa powerful kiasi gani huwez kucheza game, gd, bitcoin mining effectively kuliko apu yangu japo unasema ni weak , mimi nakubalcombination nzuri ni intel cpu + amd/nvidia gpu ,, ila combination ya intel full ni ya hovyo bora amd full, ndio maana mac wanasema it sucks in gaming pamoja na kuwa mac pro zina iris
mkuu apu usidhani ina graphics nzuri na hakuna apu hata moja inayogusa mziki wa iris pro.
74942.png


mac sio nzuri kwa gaming ukicompare na gpu kubwa kama nvidia gtx 1080 ila hio apu yako inaweza pitwa hata mara 5 au sita compare na gpu utakayoikuta kwenye mac.

na amd mwenyewe wakati anazindua gpu za fiji ilibidi atumie cpu za intel (aibu) sababu cpu zake ni dhaifu haziwezi kuendesha gpu kubwa, zinatumia umeme mwingi na zinapata sana moto
AMD Doesn't Trust its Own Processors - Project Quantum Driven by Intel Core i7-4790K

na unaposema kubuild pc umeshahama kwengine kabisa hapa tunaongelea laptop ambazo huwezi kuongeza gpu unatumia ambacho kimekuja na laptop, kama ni kujenga pc mpya ndio kabisaa nisingechagua amd sababu pentium+gpu ya bei rahisi ni bora kuliko apu. na siku hizi pentium zimeekwa hyperthread ndio kabisa umuhimu wa apu unapotea.

so unaclaim kwamba intel inashine kwenye benchmark tu? kwenye real world perfomance amd yupo vizuri? asante kwa huu utani.
 
mkuu apu usidhani ina graphics nzuri na hakuna apu hata moja inayogusa mziki wa iris pro.
74942.png


mac sio nzuri kwa gaming ukicompare na gpu kubwa kama nvidia gtx 1080 ila hio apu yako inaweza pitwa hata mara 5 au sita compare na gpu utakayoikuta kwenye mac.

na amd mwenyewe wakati anazindua gpu za fiji ilibidi atumie cpu za intel (aibu) sababu cpu zake ni dhaifu haziwezi kuendesha gpu kubwa, zinatumia umeme mwingi na zinapata sana moto
AMD Doesn't Trust its Own Processors - Project Quantum Driven by Intel Core i7-4790K

na unaposema kubuild pc umeshahama kwengine kabisa hapa tunaongelea laptop ambazo huwezi kuongeza gpu unatumia ambacho kimekuja na laptop, kama ni kujenga pc mpya ndio kabisaa nisingechagua amd sababu pentium+gpu ya bei rahisi ni bora kuliko apu. na siku hizi pentium zimeekwa hyperthread ndio kabisa umuhimu wa apu unapotea.

so unaclaim kwamba intel inashine kwenye benchmark tu? kwenye real world perfomance amd yupo vizuri? asante kwa huu utani.
nadhan hujanielewa , naona unakazana na onboard graphics ya kwenye cpu ,, nnaposema gpu nnaongelea integrated mkuu , stand alone gpu , achana na hio inayoshare board na cpu ambayo lazima iwe weak ,

swala la kudraw more power na heat inategemea na matumizi yako ndo maana kwenye apu kuna gpu 2 ,kuna low quality perfomance gpu ambayo ndo inayoshare board na cpu na kuna high quality performance gpu ambayo ndo integrated ,, sasa unafananisha onboard gpu na ya iris utakuwa unaionea mkuu , hapa fananisha integrated ya apu na ya iris ndo utaona iris ilipoachwa mbali

benchmark na reallife siwez kusema moja kwa moja kama ndo hvo mkuu ,nnakubal intel is powerful ila kuna situation kama nlivokuelezea yangu mimi na jamaa , mimi nnachoona unafuu ni price mkuu , nlivoenda shop nlikuta hii apu yenye gpu ya 2Gb , memory 8gb , 1TB hdd 5400rpm 1080p 75hz, 17'3 kwa price ambayo imeachwa mbali na intel i7 yenye specs kama hizo hvohvo
 
nadhan hujanielewa , naona unakazana na onboard graphics ya kwenye cpu ,, nnaposema gpu nnaongelea integrated mkuu , stand alone gpu , achana na hio inayoshare board na cpu ambayo lazima iwe weak ,

swala la kudraw more power na heat inategemea na matumizi yako ndo maana kwenye apu kuna gpu 2 ,kuna low quality perfomance gpu ambayo ndo inayoshare board na cpu na kuna high quality performance gpu ambayo ndo integrated ,, sasa unafananisha onboard gpu na ya iris utakuwa unaionea mkuu , hapa fananisha integrated ya apu na ya iris ndo utaona iris ilipoachwa mbali

benchmark na reallife siwez kusema moja kwa moja kama ndo hvo mkuu ,nnakubal intel is powerful ila kuna situation kama nlivokuelezea yangu mimi na jamaa , mimi nnachoona unafuu ni price mkuu , nlivoenda shop nlikuta hii apu yenye gpu ya 2Gb , memory 8gb , 1TB hdd 5400rpm 1080p 75hz, 17'3 kwa price ambayo imeachwa mbali na intel i7 yenye specs kama hizo hvohvo
hakuna apu yenye graphics mbili mkuu apu zote zina graphics moja, ukiona pc ina graphics mbili ujue ina gpu ya apu na dedicated graphics. na kama ina dedicated graphics hata intel inaweza kuwa na dedicated graphics vile vile,

pia iris ni integrated graphics kuifananisha iris na dedicated ndio kuionea inatakiwa iris ifananishwe na apu sababu graphics ya apu ni kama iris zote zinakuja na cpu.

pia kwenye laptop hio apu yako usiende mbali kuifananisha na i7, hio apu inapitwa na i3 yoyote ya kisasa, mfano i3 6100H inayodraw power sawa na cpu yako au hata zile low wattage i3 kama vile i3 7100u yenye TDP ya 15w inaipita hio apu kwenye nguvu.

kuhusu ram na hdd watu wasiofahamu computer au wanaonunua ultrabook ndio huangalia mambo hayo ila laptop ya kawaida ni rahisi kuiongeza ram, ram ya 8gb na hdd ya 1tb inaweza hata isifike 150,000
 
hakuna apu yenye graphics mbili mkuu apu zote zina graphics moja, ukiona pc ina graphics mbili ujue ina gpu ya apu na dedicated graphics. na kama ina dedicated graphics hata intel inaweza kuwa na dedicated graphics vile vile,

pia iris ni integrated graphics kuifananisha iris na dedicated ndio kuionea inatakiwa iris ifananishwe na apu sababu graphics ya apu ni kama iris zote zinakuja na cpu.

pia kwenye laptop hio apu yako usiende mbali kuifananisha na i7, hio apu inapitwa na i3 yoyote ya kisasa, mfano i3 6100H inayodraw power sawa na cpu yako au hata zile low wattage i3 kama vile i3 7100u yenye TDP ya 15w inaipita hio apu kwenye nguvu.

kuhusu ram na hdd watu wasiofahamu computer au wanaonunua ultrabook ndio huangalia mambo hayo ila laptop ya kawaida ni rahisi kuiongeza ram, ram ya 8gb na hdd ya 1tb inaweza hata isifike 150,000
mkuu unanibishia mimi mwenye machine , nna gpu 2 moja onboard 768mb ndo ukubwa wake , nyingine ya pembeni ni 2Gb asee, ebu google about crossfire kidogo maybe utaelewa kumbe amd zenye gpu zaid ya moja hazijaanza leo ,

alafu hio i3 uliyonitajia ni powerful mkuu ni 6th gen , inaweza ikaipiku hata yako japo nna kauhakika nimeizid i3 hazina turbo na nahisi hata hyper thread haina , alaf mkuu nadhan una uzoef na mambo haya kiasi cha kujua kuwa computer mbili zinazofanana zinaweza zikawa na benchmark tofaut ,

tukianza kuzungumzia iris nakubal ni bora zaid , ila ukianza kuongelea gpu tutaingia kwenye mada nyingine kabisa ya kulinganisha gpu ,

ila mkuu unacheza game yoyote kwenye pc yako ? kama unacheza gta v walau sema unapata fps ngap , hii kitu kusema tu hii bora kuliko hii bila kujaribu siamini

umezungumzia kuongeza ram na hdd , mi nimeongelea nilivyozikuta mkuu , maybe niseme tu hii yangu ilikuwa ni 850k na ya i7 ilikuwa ni 1.4m kwahio ilikuwa mbal na unene wa mfuko wangu kwa wakati huo , usisahu pia sio kila laptop unaweza kuongeza ram tu , kuna limitation mzee, pamoja na hvyo nna additional slot 2 za ram , jumla zipo nne
 
mkuu unanibishia mimi mwenye machine , nna gpu 2 moja onboard 768mb ndo ukubwa wake , nyingine ya pembeni ni 2Gb asee, ebu google about crossfire kidogo maybe utaelewa kumbe amd zenye gpu zaid ya moja hazijaanza leo ,

alafu hio i3 uliyonitajia ni powerful mkuu ni 6th gen , inaweza ikaipiku hata yako japo nna kauhakika nimeizid i3 hazina turbo na nahisi hata hyper thread haina , alaf mkuu nadhan una uzoef na mambo haya kiasi cha kujua kuwa computer mbili zinazofanana zinaweza zikawa na benchmark tofaut ,

tukianza kuzungumzia iris nakubal ni bora zaid , ila ukianza kuongelea gpu tutaingia kwenye mada nyingine kabisa ya kulinganisha gpu ,

ila mkuu unacheza game yoyote kwenye pc yako ? kama unacheza gta v walau sema unapata fps ngap , hii kitu kusema tu hii bora kuliko hii bila kujaribu siamini

umezungumzia kuongeza ram na hdd , mi nimeongelea nilivyozikuta mkuu , maybe niseme tu hii yangu ilikuwa ni 850k na ya i7 ilikuwa ni 1.4m kwahio ilikuwa mbal na unene wa mfuko wangu kwa wakati huo , usisahu pia sio kila laptop unaweza kuongeza ram tu , kuna limitation mzee, pamoja na hvyo nna additional slot 2 za ram , jumla zipo nne
mkuu wewe ndio huelewi mashine ndio inaweza kuwa na gpu mbili lakini gpu ya pili sio ya apu chukulia mfano huu

nina i7 6700k ina gpu ya ndani hd530 na pia nina dedicated gpu ya nvidia 1080. hivyo hapa nina gpu mbili ya hd530 na nvidia 1080. so hapa haifanyi nvidia 1080 iwe ni gpu i7 6700k sababu ipo nje kivyake inajitegemea.

unaposema apu unamaanisha cpu na gpu zimeekwa kwenye die moja na sio cpu na gpu mbili, hio gpu ya pili inakuwa inajitegemea na same gpu utakayoikuta kwako ipo pia kwenye laptop za intel sababu ni dedicated, kama huamini nitajie hio gpu yako ya pili yenye 2gb then nitakutajia laptop kibao za intel zenye hio gpu

angalia hii ndo picha ya die ya apu
die_sm.jpg


hapo angalia kushoto hio ni gpu angalia juu hizo ndio core na chini ni shared cache.

i3 haina turbo ndio lakini inayo hyperthread na for sure imeipita laptop yako ila haijaioita i5 yangu, kama huamini cheki passmark score sasa hivi ya i3 4110m ambayo ni 4th gen then linganisha yako na yangu au kama unataka ya juu zaidi nenda i3 6100h.

wazo zuri, ninalo gta v cheza halafu screenshot fps ni vyema na page ya jf ikawa pembeni ili usije kuleta screenshot za google, and by the way yangu nimenunua shilingi laki 5 tu.

kwa hio 850k ulionunua mimi ningenunua i3 au i5 4th gen around laki 5 then nikanunua i7 ya laptop 4th gen kwa laki 3 nikai upgrade na hio elfu 50 nika upgrade ram mpaka 8gb au 12gb
 
Mkuu...swali..nje..ya..topic...hii
Jamaa yangu...analaptop...yake...ilikuwa...na...Windows10...alifanya...reinstallation....na...kuformatted...data...zake...zote...ila....hakudelete...partition..
Je...kuna...uwezekano...kurecover...data...zake....zote..?
Ni...software...ipi...inaweza...kurecover...hizi...data?
Unaandikaje hvyo?
 
Swali langu mkuu je laptop ya HP Elitebook 8460 14" i7 . 2720QM Quad Core .. 2.2GHz ....8GB ,160GB SSD .... Hii vipi boss uwezo wake
 
Swali langu mkuu je laptop ya HP Elitebook 8460 14" i7 . 2720QM Quad Core .. 2.2GHz ....8GB ,160GB SSD .... Hii vipi boss uwezo wake

cpu nzuri, ssd nzuri, ram nzuri, hapo mambo ya kawaida yote utafanya bila tatizo, hapo wasi wasi ni gpu tu, gpu inayokuja na hio cpu intel hd 3000 ni nzuri kwa matumizi ya kawaida ila kwa app na games zinazohitaji gpu kubwa itapata shida
 
Chief-Mkwawa pc yangu inazingua...nikiingia pale kwenye this pc nashindwa kuacess local disc c....inasema sina permission, pia hata memory status yake haionekani...yani inakua kama vile imekua . ejected. Msaada plz chief
 
Nashukuru kwa jibu zuri boss...... Swali la nyongeza .....1.ni tofauti gani iliyopo kati ya 32bit and 64bit kwenye system type ..... 2.Na je pale wanapoandika 32bit-×64bit operating processor na ile inayoandika 32 bit peke ake zina tofauti ....... 3. Je unaweza kubadili 32bit kwenda kwenye 64bit
 
Nashukuru kwa jibu zuri boss...... Swali la nyongeza .....1.ni tofauti gani iliyopo kati ya 32bit and 64bit kwenye system type ..... 2.Na je pale wanapoandika 32bit-×64bit operating processor na ile inayoandika 32 bit peke ake zina tofauti ....... 3. Je unaweza kubadili 32bit kwenda kwenye 64bit


tofauti kubwa ya 32bit na 64bit ni kwamba 32bit inatumia tu 4gb ram wakati 64bit inatumia hadi 512gb ram na kuendelea. hii inaathiri sana application zinazohitaji perfomance kubwa kama video editing, games kubwa etc.

processor ikiwa ya 64bit inamaana inaweza kurun windows ya 32bit na 64bit ila ikiwa 32bit inamaana itarun 32bit tu haiwezi run 64bit

unaweza badili 32bit kwenda 64bit pale tu itakapokua cpu yako ni 64 bit na itabidi ufanye clean installation (ufute vitu vyote)
 
mkuu then tumia 3rd party software za kuangalizia cpu/gpu kina cpu x, cuda z etc
Habari mkuu! najua ntachanganya mada ila wadau wanisamehe sana shida yangu nataka video ambazo zipo kwa kifaa cha(Tab) nizi play kwa tv kupitia deki na zipo kwa fornat ya mp4 Nilivoikagua hii deki ina support hyo fornmat ila tatizo nikichomeka usb cable inaniambia hai support usb nashindwa kuelewa tatizo ni nini mkuu,na nimechukua tena flash nimeweka memory card nayo imeniambia hivo mkuu tatizo ni nini mkuu hapo?!!
 
Habari mkuu! najua ntachanganya mada ila wadau wanisamehe sana shida yangu nataka video ambazo zipo kwa kifaa cha(Tab) nizi play kwa tv kupitia deki na zipo kwa fornat ya mp4 Nilivoikagua hii deki ina support hyo fornmat ila tatizo nikichomeka usb cable inaniambia hai support usb nashindwa kuelewa tatizo ni nini mkuu,na nimechukua tena flash nimeweka memory card nayo imeniambia hivo mkuu tatizo ni nini mkuu hapo?!!
tafuta video converter, then convert kwenda avi, mpeg, 3gp na format mbali mbali then test hio deki yako.

inaweza kuwa mp4 lakini wakawa wameicompress x264 au x265 hivyo deki yako nayo haisupport hizo compression mwisho wa siku inashindwa kuplay.
 
Back
Top Bottom