Kichaa mmoja alikua yuko wodini juu ya baiskeli aliyopewa na dokta wake.Baiskeli ikawa imewekwa kwenye stendi,kwa hiyo akawa anaendesha iko palepale.Dokta akawa anamuangalia kichaa anavyochanganya pedal kwa kasi mno baada ya mda akatulia.Dokta kuona mtu amekaa mda mrefu juu ya baiskeli bila kufanya lolote,akajua labda akili zimemrudia na amejishtukia kwamba baiskeli haitembei,akamfata akamuuliza.
"Vipi mbona huendeshi baiskeli?"
kichaa:Shhhh,niko kwenye mtelemko.
Dokta huyo kaondoka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.