mohamedidrisa789
JF-Expert Member
- Jun 20, 2015
- 5,111
- 21,657
Wazungu ni watu ambao wametuzidi sana kiakili hata.hii ndo ile chechnya ambayo ni sehem ya urusi ambapo vita ilipelekea mji huu kualibiwa vibaya mno hadi mwaka 2010 vita ilipoisha jamaa walianza kujenga upa na sasa ni mji wenye kumvutia kila mtu duniani.
Hii ni picha ya mwaka 2009
View attachment 369632
Muonekano wa sasa
Hii ni picha ya mwaka 2009
View attachment 369632
Muonekano wa sasa