ikifikia hapa ndo pale familia inamwomba Mungu amchukue huyo baba mapeeema!
Mmhh tunakoelekea hapa TZ kuna haja ya kuanzisha family Courts
Kisa kirefu sana mpaka nimeshindwa kukisoma, "summarize". Unajuwa kila kisa kinapokuwa kirefu uongo unakuwa mwingi. Unatuandikia novo nzima, kisa na mkasa?
Weka mistari mitatu minne yenye nguvu to the point.
Dah! Nahisi wewe unataka kujidai ni mathematician! Ila kama umeshindwa kusoma vimistari vichache hivyo sijui wewe upo katika kundi gani!
Labda uwe unaenda kwenye jamii photo panakufaa! Huku ni maelezo kwa wingi mkuu!
Ila na wewe yakikukuta utasimulia tu, ngoja tusubiri.