mkuu kwahiyo mtu akiwa na record mbaya nyuma tusiangalie sio? inamaana rostam akiamua kujenga barabara na akija na hoja nzuri tusimuangalie nyum tumpe urais. Jipange mkuu, toa hoja kiuangalifSURE... Ana points fulani nzito huyu jamaa, hatuna haja ya kuangalia maisha yake ya
nyuma yalivyokuwa, maana aliamua ku`repent, na anaishi maisha ya kawaida.
Sioni shida katika tone yake, na bado sijaifananisha sauti yake na ya mtu mwingine!
mkuu kwahiyo mtu akiwa na record mbaya nyuma tusiangalie sio? inamaana rostam akiamua kujenga barabara na akija na hoja nzuri tusimuangalie nyum tumpe urais. Jipange mkuu, toa hoja kiuangalif
nenda http://www.munishi.comHuyu wakati fulani alikuwa akiposti kwenye website yake propaganda za kuiponda serikali ya JK sijui walimnyamazisha au alichoka mwenyewe?
Munishi alikuwa zamani, siku hizi kaishiwa toka lini dini ukachanganya na siasa.