Mungu wangu weee..... tumelogwa?

Shomari

JF-Expert Member
Mar 8, 2008
1,112
241
Hebu angalia tofauti kubwa iliyopo hapa chini:

Mlipa kodi


untitled.jpg 1302008.jpg
Mtafuna Kodi:

ot18.jpg
2012-10-03t204931z_871122130_gm1e8a40dd401_rtrmadp_3_canada-politics.jpg

kama picha na kichwa cha habari zinavyojieleza, je una maoni gani? je umeridhika na hali hii? toa maoni yako tafadhali.
 
Hahaha hii ndio t bana ukikataa unahama bana si walitoa kura kwa kula

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Vitu vingine vinatia hasira!!Jamaa anaenjoy wakati wananchi wake wanataabika!!!!hiyo hela yake ya safari angenunua magari ya kubebea wagonjwa mangapi?
 
kwahilo poz la kwenye carriage dhaifu anasema moyon 'duh siamin wananitreat kama prince chalz' hapa kakosekana2 shavu dododo mamaa ya wama
 
Picha ya mwanzoni nilipatwa na huruma, ya pili nikabaki kushangaa kisha nikakasirika na mwishowe nimejikuta nacheka tu! Jamani hizi safari zina raha yake. Hata kama ingekua wewe ungeacha kurudi huko tena na tena? Msinivae jamani I'm just thinking aloud! Lol!
 
Kutoka kwenye bembea ya Jamaika mpaka kwenye farasi wa Canada ni maendeleo kwa kweli. hayapaswi kubezwa, mwenye macho haambiwi tazama.
 
Picha ya kwanza sio TZ hao punda ni huko Zimbabwe
Picha ya pili ni kweli TZ sioni ulazima ukiwa Dar upande Corolla au Daladala mm nimesoma Mwitikira P/school na nilikaa Mtitaa km 6 unaamka usiku sio alfajiri
Hizo picha 3 na 4 sijui ni Rais gani agome utamaduni wa mwenyeji au agomee mwaliko ba Itifaki
Mwezi uliopita Katibu na Mkiti wa vyama vya siasa wametembelea USA na UK hatukuhoji huu ubavu unatoka wapi?
 
Hiyo ambulance inatia huruma sana. Mungu awarehemu mafisadi wa Tanzania kwani hawaoni kile wanafanya.
 
Picha ya kwanza sio TZ hao punda ni huko Zimbabwe
Picha ya pili ni kweli TZ sioni ulazima ukiwa Dar upande Corolla au Daladala mm nimesoma Mwitikira P/school na nilikaa Mtitaa km 6 unaamka usiku sio alfajiri
Hizo picha 3 na 4 sijui ni Rais gani agome utamaduni wa mwenyeji au agomee mwaliko ba Itifaki
Mwezi uliopita Katibu na Mkiti wa vyama vya siasa wametembelea USA na UK hatukuhoji huu ubavu unatoka wapi?
Ukwaju, we usitake kukataa, mazingira ya Tanzania yanajulikana kabisa, ukienda mikoa ya Singida na Dodoma vijijini hauwezi kukosa hali kama hii, tena bora hawa inakokotwa na ng'ombe. kuna sehemu nyingine kina mama wajawazito wanakokotwa mpaka na mkokoteni wa tairi moja, tukikubali ukweli kwamba tumesahau kuwekeza baadhi ya sekta maalumu nadhani tutasonga mbele.

Unaongelea suala la mwenyeji kumkarimu mgeni, nimekushangaa sana, sijui unaishi karne gani. kwa taarifa yako Canada ni nchi ya kibepari na hawana utamaduni wa kukarimiana, wao kwa wao hawajikarimu itakuwa mgeni!! na hii sio kwa hao Canada tu bali ngozi nyeupe kiufupi hawajui kitu kinachoitwa ukarimu au utu, kama ilikuwepo hiyo ni miaka 500 iliyopita. wao katika kujenga urafiki na mahusiano kwa ujumla wanachoangalia zaidi ni pesa, ama ni jinsi gani wanaweza kunufaika na huo uhusiano. na wakishanufaika tu basi na urafiki unakomea hapo wanakwenda kuanza kujenga uhusiano mwingine.
Barrick Gold wale ni wacanada, hivyo ni lazima wampe treatment ya kutosha huyu ****** ili kulinda maslahi yao yaliyopo Tanzania, naye ****** huenda akavimbiwa kichwa kwa kudhani kwamba anapata special treatment!

Kumbe ukweli ni kwamba hawa jamaa huwa wana strategy kali sana, kwanza wanamsoma mtu wanayedeal naye, wakishagundua tu udhaifu wake , Kwisha kazi! na kama unavyojua huyu ndugu yetu ana udhaifu wa aina kedekede , ikiwamo udhaifu wa kupenda kuuza sura. hebu angalia hapo chini:

Hapa analainishwa!
o9.jpg
sasa hebu niambie, kikwete anachezea timu gani mpaka apewe jezi?

Hapa kalainika
o5.jpg
kama picha zinavyojieleza hapo juu, ukiangali hapo anaposaini utaona kwamba nyuma yake kuna wanasheria, upande wa kushoto na kulia kuna njemba hizo zimevaa badge za vyeo vya kijeshi, inaonekana hao wote hapo ni top officials , hivyo moja kwa moja naamini hapo kuna jambo kubwa sana linafanyika , iwe kati ya kuongeza msamaha wa kodi kwa makampuni ya kigeni yanayochimba madini, ama JK ndio hivyo tena anasaini mkataba mpya wa madini. utashangaa utakaposikia kwamba wamepewa kuchimba madini kwa miaka 200 na msamaha wa kodi juu, lolote linawezekana kwani Tanzania karibu kila kona kuna madini na yanachimbwa kwa kasi, tukija kuamka tutakuta kweupe.
 
Huo ubwabwa tuliokula walau ungetuama tumboni basi, ukiambiwa tuliamka na njaa na saa hizi khanga zilishapauka. Sina hamu!
Hahaha hii ndio t bana ukikataa unahama bana si walitoa kura kwa kula

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Ukwaju, we usitake kukataa, mazingira ya Tanzania yanajulikana kabisa, ukienda mikoa ya Singida na Dodoma vijijini hauwezi kukosa hali kama hii, tena bora hawa inakokotwa na ng'ombe. kuna sehemu nyingine kina mama wajawazito wanakokotwa mpaka na mkokoteni wa tairi moja, tukikubali ukweli kwamba tumesahau kuwekeza baadhi ya sekta maalumu nadhani tutasonga mbele.

Unaongelea suala la mwenyeji kumkarimu mgeni, nimekushangaa sana, sijui unaishi karne gani. kwa taarifa yako Canada ni nchi ya kibepari na hawana utamaduni wa kukarimiana, wao kwa wao hawajikarimu itakuwa mgeni!! na hii sio kwa hao Canada tu bali ngozi nyeupe kiufupi hawajui kitu kinachoitwa ukarimu au utu, kama ilikuwepo hiyo ni miaka 500 iliyopita. wao katika kujenga urafiki na mahusiano kwa ujumla wanachoangalia zaidi ni pesa, ama ni jinsi gani wanaweza kunufaika na huo uhusiano. na wakishanufaika tu basi na urafiki unakomea hapo wanakwenda kuanza kujenga uhusiano mwingine.
Barrick Gold wale ni wacanada, hivyo ni lazima wampe treatment ya kutosha huyu ****** ili kulinda maslahi yao yaliyopo Tanzania, naye ****** huenda akavimbiwa kichwa kwa kudhani kwamba anapata special treatment!

Kumbe ukweli ni kwamba hawa jamaa huwa wana strategy kali sana, kwanza wanamsoma mtu wanayedeal naye, wakishagundua tu udhaifu wake , Kwisha kazi! na kama unavyojua huyu ndugu yetu ana udhaifu wa aina kedekede , ikiwamo udhaifu wa kupenda kuuza sura. hebu angalia hapo chini:

Hapa analainishwa!
sasa hebu niambie, kikwete anachezea timu gani mpaka apewe jezi?

Hapa kalainika
View attachment 67240
kama picha zinavyojieleza hapo juu, ukiangali hapo anaposaini utaona kwamba nyuma yake kuna wanasheria, upande wa kushoto na kulia kuna njemba hizo zimevaa badge za vyeo vya kijeshi, inaonekana hao wote hapo ni top officials , hivyo moja kwa moja naamini hapo kuna jambo kubwa sana linafanyika , iwe kati ya kuongeza msamaha wa kodi kwa makampuni ya kigeni yanayochimba madini, ama JK ndio hivyo tena anasaini mkataba mpya wa madini. utashangaa utakaposikia kwamba wamepewa kuchimba madini kwa miaka 200 na msamaha wa kodi juu, lolote linawezekana kwani Tanzania karibu kila kona kuna madini na yanachimbwa kwa kasi, tukija kuamka tutakuta kweupe.

Jamani hata kama hatukusoma hata picha hatuoni? Mkuu unayosema ni kweli, hapo tushapigwa changa la macho. Mpaka Mkataba uje uangukie mikononi mwa vyama vya upinzani na kuchambuliwa na hatimaye kuingia bungeni,tumeshakwisha manake.
 
Kwa maoni yangu binafsi nadhani Rais wetu hatumii Kodi zetu amealikwa na Mkuu wa nchi hiyo.
 
Wanamshukuru kwa kuwapatia fursa mwanana za kuvuna utajiri wa nchi kama hawana akili vile kupitia African Barrik Gold Mine.
 

Linganisha tu na matanuzi mengine haya...

imagejpeg
V8.jpg

Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe baada ya kushuka kwenye gari la bei mbaya

Wananchi tumeumia!!!
 
Hakika hatuna aliempa jina la vasco da gama alikosea, huyu kikwete anatia hasira sana..........

Da gama alikuwa na kazi ya kusaini mikata kwa faida ya inchi yake, alishughulika na matatizo ya huko kwao

Da gama hakuiuza inchi yake, lakini huyu wetu, ahadi nyiiiingiii anaishia kwenye propaganda na visingizio.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom