patience96
JF-Expert Member
- Aug 19, 2011
- 1,353
- 568
Ndugu zangu wana chit chat,jioni ya jumapili kuamkia j3 kama saa mbili usiku nikiwa kwenye baiskeli yangu nilipata bahati mbaya na kujikuta kwa bahati mbaya naingia kwenye njia ya Tram na kupoteza balance,hali iliyosababisha kuanguka na kupoteza fahamu.Nashukuru nilichukuliwa na Ambulance na kufikishwa hospitali ambapo nilipumzishwa na kuruhusiwa siku ya jumatatu mchana na nimekuwa katika mapumziko na kusaidiwa na dawa za kupunguza maumivu,na hali sio mbaya sana japo nina maumivu kidogo katika upande wa kulia..
Paka Mweusi, Nadhani unatafuta sympathy kwa ku-share feelings of JF members kutokana na yaliyokukuta. Any way pole sana, get well soon.