Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,288
- Thread starter
- #21
kama huendagi kanisani au mskitini hima ukamshukuru Mungu na utoe fungu la ten mana ungeona rangi zote
nadhani Manji anatoa sana hii kitu.
Kuna uhusiano na imani?
Fungu la kumi kwa Kanisa Katoliki no! Labda aje mtu anipe mwongozo mwingine wa kutekeleza hili...