Mungu wetu wa Mapendo,mbona unaiacha nchi yetu inakwenda mrama?
Ni nchi yenye amani tangu uhuru toka kwa Waingereza!Jirani zetu wamepigana,wameuana lakini UCHUMI wao na maendeleo ya wananchi wao bado yanatuzidi.Mfani ni kirani zetu wa RWANDA.
Mwalimu Nyerere alitupa Mkapa na kutuhakikishia kuwa ni mtu safi.Na sisi tukasema ni chaguo lako!Tulifikiri mzee wa Ruksa alikuwa amepotoka kidogo,hakujua rule of law na heshima ya IKULU.Waarabu na Wahindi wakawa ndio kwao pale.Mkewe wa Mzee Ruksa wa Kiarabu ndio akawa mtu wa deal.Tuliokuwa Dar miaka ile tuliona mara ya kwanza First Lady anajihusisha na biashara,hata tetesi lile jumba la kumetameta opposite na Maktaba ni lake.
Oh my God
Akaja Mmakonde mwenzangu,chaguo lako!!!Yeye na familia yake wakaanza kuuza kila kitu cha serikali.Akafungua kampuni akiwa IKULU.Akanunua kiwanda cha Kiwira kutumia benki zetu.Ufisadi ndio ukaanza rasmi kila ngazi ya serikali.Akanunua fake RADAR.BOT Twin Tower!Meremeta.Presidential JET.Migodi mikataba fake.Tenda mbovu za vifaa vya jeshi,IPTL aka Dowans now etc etc.
Muda wake ukaisha,hakuna mtu wa kumgusa mpaka leo.
Akaja JK,tukafiri yeye ana nidhamu ya kijeshi kueza kuinusuru nchi.Ni tofauti kabisa.Ameitumia ndege ya Rais vizuri ku globe trotting .Ni aibu kwa nchi maskini kama Tanzania kuwa na life style hii.Kesi zote alizoacha Mkapa ,hazijafika mbali .Lowassa,Rostam,Karamagi,Mkono,Vijisenti & gangs bado wanafurahia matunda ya ufisadi na kuwa mabilionea wa kwa kuiibia serikali ya Tanzania.Mbaya zaidi Wanasheria wetu ndio wanashirikiana na viongozi wetu kuiibia nchi.REX attorneys,IMMA advocates na MKONO advocates wamechukua billioni nyingi eti kutetea clients wao.
Mungu wetu tumekukosea nini?Umewapa uwezo watu wachache kuifilisi nchi na resources zake bila kujali maisha ya millions ya Watanzania ambao,wanalalia ngozi vijijini,hawana maji na umeme,hawana madaktari wazuri!!!
Mungu wetu ,uchaguzi umepita,tumeona kwa mara ya kwanza jinsi gani ,elites wa chama tawala na UWT kuwanyima wananchi haki zao.May be Mungu wetu una mpango na nchi yetu,tuambia wazi tufanye nini,ili cake ya nchi ,iliwe na wananchi wote.
Tunauaga mwaka huu wa 2009,miaka 49 tangu tupate uhuru.Mungu wetu tunakuomba utume mwanga,tutakapofika 50,tuwe tumepuvuka ,uwaadhibu mafisadi wote ambao wanaiibia nchi yetu kila siku through tenda za serikali,kodi,madini etc.
Kama tumekukosea tangu UHURU,tunakuomba utusamehe.Tupe nguvu tukabiliana na mafisadi bila ya kumwaga damu.
Bila shaka utazisikia sara zetu zitimie 2011!
Ni nchi yenye amani tangu uhuru toka kwa Waingereza!Jirani zetu wamepigana,wameuana lakini UCHUMI wao na maendeleo ya wananchi wao bado yanatuzidi.Mfani ni kirani zetu wa RWANDA.
Mwalimu Nyerere alitupa Mkapa na kutuhakikishia kuwa ni mtu safi.Na sisi tukasema ni chaguo lako!Tulifikiri mzee wa Ruksa alikuwa amepotoka kidogo,hakujua rule of law na heshima ya IKULU.Waarabu na Wahindi wakawa ndio kwao pale.Mkewe wa Mzee Ruksa wa Kiarabu ndio akawa mtu wa deal.Tuliokuwa Dar miaka ile tuliona mara ya kwanza First Lady anajihusisha na biashara,hata tetesi lile jumba la kumetameta opposite na Maktaba ni lake.
Oh my God
Akaja Mmakonde mwenzangu,chaguo lako!!!Yeye na familia yake wakaanza kuuza kila kitu cha serikali.Akafungua kampuni akiwa IKULU.Akanunua kiwanda cha Kiwira kutumia benki zetu.Ufisadi ndio ukaanza rasmi kila ngazi ya serikali.Akanunua fake RADAR.BOT Twin Tower!Meremeta.Presidential JET.Migodi mikataba fake.Tenda mbovu za vifaa vya jeshi,IPTL aka Dowans now etc etc.
Muda wake ukaisha,hakuna mtu wa kumgusa mpaka leo.
Akaja JK,tukafiri yeye ana nidhamu ya kijeshi kueza kuinusuru nchi.Ni tofauti kabisa.Ameitumia ndege ya Rais vizuri ku globe trotting .Ni aibu kwa nchi maskini kama Tanzania kuwa na life style hii.Kesi zote alizoacha Mkapa ,hazijafika mbali .Lowassa,Rostam,Karamagi,Mkono,Vijisenti & gangs bado wanafurahia matunda ya ufisadi na kuwa mabilionea wa kwa kuiibia serikali ya Tanzania.Mbaya zaidi Wanasheria wetu ndio wanashirikiana na viongozi wetu kuiibia nchi.REX attorneys,IMMA advocates na MKONO advocates wamechukua billioni nyingi eti kutetea clients wao.
Mungu wetu tumekukosea nini?Umewapa uwezo watu wachache kuifilisi nchi na resources zake bila kujali maisha ya millions ya Watanzania ambao,wanalalia ngozi vijijini,hawana maji na umeme,hawana madaktari wazuri!!!
Mungu wetu ,uchaguzi umepita,tumeona kwa mara ya kwanza jinsi gani ,elites wa chama tawala na UWT kuwanyima wananchi haki zao.May be Mungu wetu una mpango na nchi yetu,tuambia wazi tufanye nini,ili cake ya nchi ,iliwe na wananchi wote.
Tunauaga mwaka huu wa 2009,miaka 49 tangu tupate uhuru.Mungu wetu tunakuomba utume mwanga,tutakapofika 50,tuwe tumepuvuka ,uwaadhibu mafisadi wote ambao wanaiibia nchi yetu kila siku through tenda za serikali,kodi,madini etc.
Kama tumekukosea tangu UHURU,tunakuomba utusamehe.Tupe nguvu tukabiliana na mafisadi bila ya kumwaga damu.
Bila shaka utazisikia sara zetu zitimie 2011!