Hii yote ni shibe tu kwa kuwa mmeshiba ndio mna muda wa kubishana kwenye mambo haya.
The bottom line it doesnt make any difference kama utamtaja/muamini Mungu au laa.
Mkishamaliza kwanini tunavaa nguo wakati kuna "naturalist" hawaamini mambo ya kuvaa nguo vipi nao haki zao? we can go on gay marriage etc
Goodluck!
The bottom line it doesnt make any difference kama utamtaja/muamini Mungu au laa.
Mkishamaliza kwanini tunavaa nguo wakati kuna "naturalist" hawaamini mambo ya kuvaa nguo vipi nao haki zao? we can go on gay marriage etc
Goodluck!