Mungu awalaani madaktari na wanaharahati iwapo....

siyo kawaida yangu nichangiapo au kuanzisha thread kutumia lugha ya laana. Mazingira yaliyopo yamenilazimu kufanya hivyo. Kazi ya udaktari ina miiko yake. Inahitaji daktari awe na sifa maridhawa. Miongoni mwake ni ukarimu, ucheshi, bashasha, huruma, uadilifu, utunzaji siri, ukweli, upendo nk...... Sifa kuu ni lazima awe na utu. Daktari ajue kuwa ansimamia uhai wa binadamu. Binadmau akiwa mgonjwa anahitaji tiba ili apone. Asipopewa tiba pana uwezekano mkubwa akafariki. Hii inaonesha unyeti na umuhimu wa kazi ya utibabu. Madaktari wanafaa kulijua hilo! je ni sahihi kwa daktari kugoma? nionavyo mimi siyo sahihi. Katika hali yoyote ile, dr hafai kugoma. Akigoma maana yake ni kwamba ameamua kuua watu. Daktari anatamka kuwa anagoma! Ili watu wafe! Nchi tunaipeleka wapi? Mishahara yetu iko chini kwa ujumla. Lkn licha ya mishahara midogo, madaktari wamekua wakilipwa zaidi ya watumishi wengine, ukiweka kando wabunge. Serikali ilikua ktk mgogoro na madaktari baada ya kugoma miezi 2 iliopita. Madaktari walitanguliza madai zaidi ya kumi. Serikali ilijaribu kutatua baadhi ya madai yao yakiwemo kubadilisha waziri, naibu wake na katibu mkuu nyoni. Wameongezewa marupurupu kadha wa kadha. Wameahidiwa kuwa mambo yaliyosalia ktk maombi yao. Hadi mwezi wa nane yatakua yameshatatuliwa. Ile mashine kuu ya vipimo ilyoharibika wameagizwa mafundi kutoka kiwanda kilichoitengeneza au watanunua nyengine. viyuko vya wanaharakati wa bongo wazungu wameasisi taasisi za kutetea haki za binadamu. Zina mema na mbaya. Tangu mgomo uliopita, wanaharakati wamekua bega kwa bega na madaktari wakiwasihi kuendeleza mgomo! Nitoe mfano mmoja. Mama kijo ni mkurugenzi wa legal and human rights centre (lhrc). Ni taasisi ya kisheria ya kutetea haki za binadamu. Haki kuu ya binadamu ni haki ya kuishi. Badala ya kusihi madaktari kutibu wagonjwa ili waishi, wanawahamasisha kugoma ili wagonjwa wafe. Huu ndiyo uanaharakati!!!!? Nauliza huu ndiyo utetezi wa haki za binadamu!? Wanatetea nyongeza ya mshahara na kuignore haki ya kuishi. Wangewasihi madaktari waendelee na matibabu ili nao wasaidiane nao kudai madai yao. Mbona serikali ilikua imeonesha mfano. Imejibu na kutatua 60% ya maombi ya madaktari! angalieni kituko hiki mama kijo hajali watanzania kwa mamia wanaokufa kutokana na kukosa huduma ya kutibiwa. Amehangaika kumtoa ulimboka mwabepande na kumuwahisha icu ili akatibiwe. Uli ni bora kuliko watanzania wengine? Mbona yeye amepewa huduma ya kutibiwa!? Kwa nini wengine wananyimwa huduma!? Nawasihi wanaharakati na madaktari pamoja na wanasiasa wasitishe kuunga mkono mgomo. Wasipofanya hivyo mungu awalaani wote. wakatabahu: Wakuziba
very poor great thinker, very poor analyst, umetumwa? Walaumu serikali yako, hawakusanya kodi, wezi hakuna vifaa sabau yao. Hata x-ray machine hakuna.
 
siungi mkono hoja madaktari acha waendelee kudai stahiki zao bwana na wao wanahaki ya kudai, mzee wa magogoni inabidi awatimizie stahiki zao then tuone kama watagoma tena, hapa wa kulaumiwa ni serikali iliyoko madarakani


hivi watanzania tunakosa utu kiasi hiki!!!!!!!!!!!!!!!!!! kweli tunakwenda ktk nyumba za ibada? dr analipwa 2 milion na zaidi kabla ya marupurupu. ana kibarua baada ya kazi ktk hospitali binafsi. anapata hela nyingine. huyu ndiyo m2 wa kugoma! anaacha watu wakajifie na nyinyi mnaunga mkono kwa utashi wa kisiasa! AMA KWELI KUA UYAONE!
 
Jamani hili jambo msilizungumze kisiasa kama wengi mnavyolichukulia roho ya binaadam haifanani na madai yao kwanza msaidie binaadam mwenzako mengine yatafuata baadae malipo ni duniani na yeye sasa anayaona
 
siyo kawaida yangu nichangiapo au kuanzisha thread kutumia lugha ya laana. mazingira yaliyopo yamenilazimu kufanya hivyo. kazi ya udaktari ina miiko yake. inahitaji daktari awe na sifa maridhawa. miongoni mwake ni ukarimu, ucheshi, bashasha, huruma, uadilifu, utunzaji siri, ukweli, upendo nk...... sifa kuu ni lazima awe na utu.


daktari ajue kuwa ansimamia UHAI wa binadamu. binadmau akiwa mgonjwa anahitaji tiba ili apone. asipopewa tiba pana uwezekano mkubwa akafariki. hii inaonesha unyeti na umuhimu wa kazi ya utibabu. madaktari wanafaa kulijua hilo!


JE NI SAHIHI KWA DAKTARI KUGOMA?

nionavyo mimi siyo sahihi. katika hali yoyote ile, dr hafai kugoma. akigoma maana yake ni kwamba ameamua kuua watu. daktari anatamka kuwa anagoma! ili watu wafe! nchi tunaipeleka wapi? mishahara yetu iko chini kwa ujumla. lkn licha ya mishahara midogo, madaktari wamekua wakilipwa zaidi ya watumishi wengine, ukiweka kando wabunge. serikali ilikua ktk mgogoro na madaktari baada ya kugoma miezi 2 iliopita. madaktari walitanguliza madai zaidi ya kumi. serikali ilijaribu kutatua baadhi ya madai yao yakiwemo kubadilisha waziri, naibu wake na katibu mkuu nyoni. wameongezewa marupurupu kadha wa kadha. wameahidiwa kuwa mambo yaliyosalia ktk maombi yao. hadi mwezi wa nane yatakua yameshatatuliwa. ile mashine kuu ya vipimo ilyoharibika wameagizwa mafundi kutoka kiwanda kilichoitengeneza au watanunua nyengine.



VITUKO VYA WANAHARAKATI WA BONGO



wazungu wameasisi taasisi za kutetea haki za binadamu. zina mema na mbaya. tangu mgomo uliopita, wanaharakati wamekua bega kwa bega na madaktari wakiwasihi kuendeleza mgomo! nitoe mfano mmoja. mama kijo ni mkurugenzi wa LEGAL AND HUMAN RIGHTS CENTRE (LHRC). ni taasisi ya kisheria ya kutetea haki za binadamu. HAKI KUU ya binadamu NI HAKI YA KUISHI. badala ya kusihi madaktari kutibu wagonjwa ili waishi, wanawahamasisha kugoma ili wagonjwa wafe. huu ndiyo uanaharakati!!!!? nauliza huu ndiyo utetezi wa haki za binadamu!? wanatetea nyongeza ya mshahara na kuignore haki ya kuishi. wangewasihi madaktari waendelee na matibabu ili nao wasaidiane nao kudai madai yao. mbona serikali ilikua imeonesha mfano. imejibu na kutatua 60% ya maombi ya madaktari!


ANGALIENI KITUKO HIKI


mama kijo hajali watanzania kwa mamia wanaokufa kutokana na kukosa huduma ya kutibiwa. amehangaika kumtoa ulimboka mwabepande na kumuwahisha icu ili akatibiwe. uli ni bora kuliko watanzania wengine? mbona yeye amepewa huduma ya kutibiwa!? kwa nini wengine wananyimwa huduma!?

nawasihi wanaharakati na madaktari pamoja na wanasiasa wasitishe kuunga mkono mgomo. wasipofanya hivyo MUNGU AWALAANI WOTE.

wakatabahu: wakuziba

mkuu mi nko na wewe kabisa.unajua nn kuna watu humu cdhani km hlo jina la great thinker linawafaa coz huwa wao ni kufuata tu upepo wa kisiasa ili mrad tu kaongea mtu wa chama flan wanachokipenda.hapa ilichotakiwa kwa madaktali na watanzania wote ni kuishinkiza serikali yetu kupandisha viwango vya mishahar ktk nyanja zote hapa tanzania na co kwa madaktali pekee.sasa effect za mgomo km zinavyoonekana hivi bado huwezi kuona hata thread moja ikielezea suala hili.huu ni umafia wa wanaJF tumekaa tukiandika tu kuwapa support chama fulani kufikia malengo yao.cc ni grat thinkers basi tujadili pia na hivi vifo vya watanzania wenzetu.
 
Jamani hili jambo msilizungumze kisiasa kama wengi mnavyolichukulia roho ya binaadam haifanani na madai yao kwanza msaidie binaadam mwenzako mengine yatafuata baadae malipo ni duniani na yeye sasa anayaona
 
Huo uchangamfu, bashasha, tabasamu n.k vinaletwa na conducive wprking environment!!! UNatoka nyumbani kwako watoto hawajapata chai, Ada unadaiwa... Ofisini hakuna dawa tabasamu litoe wapi? Kama unadhani Madaktari ni watu Spesho ungeishauri serikali itekelze madai yao kwenye ule mgomo wa kwanza. Au umesahahu hii ni mara ya tatu kwa madaktari kugoma? Hata la kuwafukuza kina Mponda na Lucy Nkya lilihitaji gharama?
Na mwisho... Kati yako wewe, John Komba, Livingstone Lusinde, Stevem Wassira, Maji Marefu na Martha Mlata nani alikuwa anshika nafasi ya kwanza kutoka mwishoni darsani kwenu?

mi nadhani kaka gerlad uache kuongea kwa kufurahisha watu.daktali gani ambaye anatoka nyumbani watoto wake hawajanywa chai?saula kudaiwa ada co kwa madkatali tu ni wafanyakaz wa nch nzima hali iko hvyo.hapa wanachotakiwa kufanya watanzania ni kushinikiza tu serikali kupandisha mishahara kwa nyanja zote.we kaka ngoja afe ndugu yako kwa kukosa huduma then uone inavyouma.
 
mi najiuliza,kuna tofauti gani kati ya fisadi anayeifilisi nchi na kusababisha umasikini mkubwa na daktali anayeua watu kwa mgomo ili apate pesa?
 
mwandishi wa hii topic lazima ana kacheo au ni mmoja wa mafisadi, hakuna watu wastaarabu kama madokta, walipogoma mwanzo serekali ikawadanganya wakarudi mara moja kazini na ahadi kemkem, na walitoa wiki mbili kwa serekali kabla ya mgomo kuanza ili kuzuia mgomo huu serekali yako ilifanya nini? wakijitolea kama unavyotaka wakarudi nyumbani kwao mikono mitupu familia zao zitakula wito, watoto wao watasoma shule za fani za wasiotakiwa kugoma, wazazi wao na ndugu zao watatibiwa na prof maji marefu?,usiwe mjinga wewe kaulize wafanyakazi wa TRA wanalipwaje kabla ya kusema madokta wanalipwa mishahara mikubwa, ukienda kutibiwa ukiwa umeathirika dokta katika kukutibu akagusa damu yako akapata mambukizi ya VVU ,nani atamwelewa mkewe au mumewe ? etc, usitake niendelee kusema tafakari na ufisadi wako ukijua utatoa hesabu siku ya mwisho.

wanaharakati mungu awabariki wanatetea wanyonge madokta wanao kandamizwa na serekali na watu wenye mawazo finyu kama wewe, na tena nasikia Bi kijobi simba na watu wake waliomuokoa dr ulimboka mara baada ya kuwekwa kituo cha polisi kwa masaa bila huduma yoyoye ili apoteze uhai wake baada ya wewe na mafisadi wenzako kumteka na kumtesa nakwambia mungu ni mwaminifu ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga, kila mtu aliye gusa mwili wa mtoto wa mungu ulimboka na yeye yatakuja kumpa hayohayo ili aupatate uchungu uleule alioupata dr . ndugu yangu watanzania tumeamka sio wale wa kuletewa majmbazi na kuwasingizia ndio walio husika kwahiyo nakusahuri tena tafakari sana kabla hujapost JF
 
mungu huwa halaani hovyo hovyo kama unavyodhani eti kisa wakubwa wamekosea...

Kwanza Mungu yupo busy.
Hawezi kusikiliza wendawazimu waliopewa kila aina ya utajiri hapa dunoani lakini hawawezi kuutumia kwa maslahi ya watu wa ncho yao...

Upuuzi wa serikali na udhaifu wa rais ndo unaleta yote haya..

Lukuvi anasema bunge liridhie wabunge wajengewe ofisi na kupewa watimoshi wanne watakaohudumiwa na ofisi ya bunge through budget. What a bunch of stupid idiot people are these.

Miaka hamsini wamekaa bila hayo yote, what makes them think kwamba ofisi na watumishi ni kipaumbele??

Hakuna madawa, hakuna mashine za vipimo, hakuna hata reagents za kupima HIV.... Si afadhali tumpe hii nchi Mwendawazimu tutapata sababu ya kumlaumu kwamba ni mwendawazimu!!??

Fak em all maza fantaz!!
 
pole sana ndgu hv 2mil unazozsema anazolipwa dr unalpa wewe uwe na takwmu sahh ndo uandke ktu mshahara wa dr iz 950000 kabla ya makato na swala la hosptal binafsi halina hoja wote wanaoweza kufanya hvyo n bora ukateseka kwa wk 2 kulko kuteseka miaka 50/60 na kulizka kwa sababu unateseka thnk bgger ''revolution is not like an apple waiting to fall until is rippen you should make it fall''
 
siyo kawaida yangu nichangiapo au kuanzisha thread kutumia lugha ya laana. mazingira yaliyopo yamenilazimu kufanya hivyo. kazi ya udaktari ina miiko yake. inahitaji daktari awe na sifa maridhawa. miongoni mwake ni ukarimu, ucheshi, bashasha, huruma, uadilifu, utunzaji siri, ukweli, upendo nk...... sifa kuu ni lazima awe na utu.


daktari ajue kuwa ansimamia UHAI wa binadamu. binadmau akiwa mgonjwa anahitaji tiba ili apone. asipopewa tiba pana uwezekano mkubwa akafariki. hii inaonesha unyeti na umuhimu wa kazi ya utibabu. madaktari wanafaa kulijua hilo!


JE NI SAHIHI KWA DAKTARI KUGOMA?

nionavyo mimi siyo sahihi. katika hali yoyote ile, dr hafai kugoma. akigoma maana yake ni kwamba ameamua kuua watu. daktari anatamka kuwa anagoma! ili watu wafe! nchi tunaipeleka wapi? mishahara yetu iko chini kwa ujumla. lkn licha ya mishahara midogo, madaktari wamekua wakilipwa zaidi ya watumishi wengine, ukiweka kando wabunge. serikali ilikua ktk mgogoro na madaktari baada ya kugoma miezi 2 iliopita. madaktari walitanguliza madai zaidi ya kumi. serikali ilijaribu kutatua baadhi ya madai yao yakiwemo kubadilisha waziri, naibu wake na katibu mkuu nyoni. wameongezewa marupurupu kadha wa kadha. wameahidiwa kuwa mambo yaliyosalia ktk maombi yao. hadi mwezi wa nane yatakua yameshatatuliwa. ile mashine kuu ya vipimo ilyoharibika wameagizwa mafundi kutoka kiwanda kilichoitengeneza au watanunua nyengine.



VITUKO VYA WANAHARAKATI WA BONGO



wazungu wameasisi taasisi za kutetea haki za binadamu. zina mema na mbaya. tangu mgomo uliopita, wanaharakati wamekua bega kwa bega na madaktari wakiwasihi kuendeleza mgomo! nitoe mfano mmoja. mama kijo ni mkurugenzi wa LEGAL AND HUMAN RIGHTS CENTRE (LHRC). ni taasisi ya kisheria ya kutetea haki za binadamu. HAKI KUU ya binadamu NI HAKI YA KUISHI. badala ya kusihi madaktari kutibu wagonjwa ili waishi, wanawahamasisha kugoma ili wagonjwa wafe. huu ndiyo uanaharakati!!!!? nauliza huu ndiyo utetezi wa haki za binadamu!? wanatetea nyongeza ya mshahara na kuignore haki ya kuishi. wangewasihi madaktari waendelee na matibabu ili nao wasaidiane nao kudai madai yao. mbona serikali ilikua imeonesha mfano. imejibu na kutatua 60% ya maombi ya madaktari!


ANGALIENI KITUKO HIKI


mama kijo hajali watanzania kwa mamia wanaokufa kutokana na kukosa huduma ya kutibiwa. amehangaika kumtoa ulimboka mwabepande na kumuwahisha icu ili akatibiwe. uli ni bora kuliko watanzania wengine? mbona yeye amepewa huduma ya kutibiwa!? kwa nini wengine wananyimwa huduma!?

nawasihi wanaharakati na madaktari pamoja na wanasiasa wasitishe kuunga mkono mgomo. wasipofanya hivyo MUNGU AWALAANI WOTE.

wakatabahu: wakuziba

Watu wengne mnakera!
Hebu taja hayo marupurupu waliyoongezewa madaktari, kati ya yale madai 10, ni lipi?
Kutolewa viongozi wa wizara ndo marupurupu?
Au hiyo Call allowance ya buku 20 kwa call ya masaa 16, wkt sheria inasema 5%ya salary kwa kila saa la ziada?!
Uwe unawauliza wanaojua kabla ya kuharishia mdomoni!
Au marupurupu wamaanisha hiyo postmortem allowance iliyotangazwa kuongezwa wkt haipo kwenye madai?!
 
Ndio maana 2015 CCM itarudi tena watu wanajazba na matusi badala ya hoja.
 
Mambo ya kudhani udakitari ni wito yamepitwa na wakati! Udakitari ni taaluma kisha ni kazi kama kazi nyingine, tofauti inayozidi kazi zingine ni kwamba hii inashughulikia uhai wa binadamu moja kwa moja! Ukiacha hilo kuna "risk" zitokanazo na kazi ya udaktari kama kuambukizwa magonjwa na vitu kama hivyo. Katika mazingira kama hayo si sahihi kuifananisha na kazi kama Ualimu kwa mfano. Japo wote wanajukumu zito, lakini inapofika kwenye risk, utaona mwalimu hawezi kuambukizwa ujinga wa mwanafunzi wake! hivyo madai ya watu hawa japo wote ni watumishi, hayatakuja kulingana!Wanastahili, kama serikali haina uwezo, iwaombe waelewane sio kutumia ubabe!
 
angalia laana hiyo inakurudia mwenyewe. Wengine mnaropoka harafu yanaanza kunuka mmmh puuu!
 
kumbe umejua kuwa madaktari n muhimu, bc kawahimize waliokutuma ww kibaraka wawawtimizie mahitaji yao ili utakapokuja unaumwa kaswende wakutibu,, unaleta akili za kunya hapa eeeh!!!!!!!ngoja ndg yako augue hapo ndo utajua whther doc r important or nt, akili yako inawaza matope 2 hakuna jingine, usimlaumu mama kijo, ameona madai yao ni ya msingi na serikali imekaa kimya na kutoa vitisho 2 bila suluisho lolote
 
Back
Top Bottom