au 2jipe moyo kwamba kuna zingine furaha mwanzo mwisho? mie nshakwaruzana asubuhi hii bac kumsoma Cheusi nikasema ewaaaa waongezeke nao watupokelee vijimambo humu ndnai.
leo ntaenda nae ki Bible zaidi....Amen.
<br />nataka nikuletee wifi yako umweke kitako hata sijatangaza nia amesha kuwa na wivu balaa najua wewe utamsaidia jinsi dunia inavyo zunguka
Ubarikiwe sana - mPM cheusimangala umpe shule ya uchumba - usimtishe lakini, maana wewe mmmh!
hahahaha hata kuqoute maandishi matakatifu hujafanya sijakusoma shemmmmmmmmmmmmm
<br />
Homu boy bana! Sasa kama we unashinda continental kwa nini roho isimpande bana?
BE Nyamayao ni shoga yangu,ila leo sijisikii kusikia yale mawaidha yake.
this is my rejoicing day,nkimsikiliza Nyamayao naweza kuanza kulia in advance bure.LOL
Hapa nadhani ungemsaidia kwa kumpa site ya online bible vinginevyo sijui hii mistari ataisomea wapi! LolFidel...soma Zab ya 35 kabla ya kulala, asubuhi jikabithi kwa Mungu na Zab ya 91...sema Amen.
Fidel...soma Zab ya 35 kabla ya kulala, asubuhi jikabithi kwa Mungu na Zab ya 91...sema Amen.
Hapa nadhani ungemsaidia kwa kumpa site ya online bible vinginevyo sijui hii mistari ataisomea wapi! Lol
Fidel...soma Zab ya 35 kabla ya kulala, asubuhi jikabithi kwa Mungu na Zab ya 91...sema Amen.
hahaha....naanza mchakato wa kumnunulia...mwambie ntaituma na fedex.
Fidel...soma Zab ya 35 kabla ya kulala, asubuhi jikabithi kwa Mungu na Zab ya 91...sema Amen.
<br />Kwa manufaa ya wengi hasa wapiga maji rangi ya mende<br />
<br />
Hii ni Zaburi ya 35<br />
1 Endesha kesi yangu dhidi ya wapinzani wangu, Ee Yehova; <br />
Upigane na wale wanaopigana nami. <br />
2 Ushike ngao ndogo na ngao kubwa, <br />
Na usimame ili unisaidie. <br />
3 Na uchomoe mkuki na shoka lenye makali kuwili ili kukutana na wale wanaonifuatilia. <br />
Uiambie nafsi yangu: Mimi ni wokovu wako. <br />
4 Wale wanaoiwinda nafsi yangu na waone aibu na kufedheheka. <br />
Wale wanaonipangia hila nipatwe na msiba na warudishwe nyuma na kufedheheka. <br />
5 Na wawe kama makapi mbele ya upepo, <br />
Naye malaika wa Yehova na awe akiwasukuma. <br />
6 Njia yao na iwe giza na mahali penye kuteleza, <br />
Naye malaika wa Yehova na awe akiwafuatilia.
<br />Kwa manufaa ya wengi hasa wapiga maji rangi ya mende<br />
<br />
Hii ni Zaburi ya 35<br />
1 Endesha kesi yangu dhidi ya wapinzani wangu, Ee Yehova; <br />
Upigane na wale wanaopigana nami. <br />
2 Ushike ngao ndogo na ngao kubwa, <br />
Na usimame ili unisaidie. <br />
3 Na uchomoe mkuki na shoka lenye makali kuwili ili kukutana na wale wanaonifuatilia. <br />
Uiambie nafsi yangu: Mimi ni wokovu wako. <br />
4 Wale wanaoiwinda nafsi yangu na waone aibu na kufedheheka. <br />
Wale wanaonipangia hila nipatwe na msiba na warudishwe nyuma na kufedheheka. <br />
5 Na wawe kama makapi mbele ya upepo, <br />
Naye malaika wa Yehova na awe akiwasukuma. <br />
6 Njia yao na iwe giza na mahali penye kuteleza, <br />
Naye malaika wa Yehova na awe akiwafuatilia.
<br />
<br />
huyu ni wewe au macho yangu ndo hayaoni vizuri?icjekuwa umesahau kulog out na laptop inatumiwa na ma mchungaji..