Bukayo jr
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 2,782
- 1,638
Huu ndo uchizi wa maisha ya ndoa
wapi? Mnavyoamua kuishi ndo mnavyoupata uo uchizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ndo uchizi wa maisha ya ndoa
Sio jambo zuri kwako na kwamwenzio ndio kabisa huyo mwanamke na yeye kama ameshindwa kumshawishi mumewe asikutoe wewe chambo,na mkeo nae pia mdaku imehusu nini aseme kama anaangalia hayo mashaka.
Jamani usiku mwema nimechoka sana nitapita kesho
Kwwenye bluu..mkuu sijaongea na shemeji..mke wangu ndio kanidadavulia kwamba shogaake anapenda kutizama so, kama vipi nijaribu kucheki na mumewe ili naye apende 'movie' kama mimi navozipenda..Kwani huyo shemeji yako anasemaje kuhusu mziki wa huyo jirani yako??? Kama hakuna tatizo anachohangaikia ni nini? "If it aint broke... don't fix it!!!!.."
Kwa Jinsi nivyojieleza sidhani kabisa kama nimetoa siri za Ndoa yangu nje..the thing is..porno movie sio ..big deal kiasi hicho!!!..na ndo maana zipo na i believe most of the people tunaangalia..na isitoshe na mimi nilijifunza kwa wengine..Pengine ungenitajia Madhara ya kutizama hizi pilau..Hivi umemaliza na kuiweka ndoa yako sawa hadi uingilie ndoa za watu??
siajabu huyo unaemuita mkeo (which i doubt maana wanandoa huwa wanatunziana heshima kuliko ulivyoiweka hapa) anasagana full time na huyo jirani
pole