Mumewangu ndio chanzo cha mimi kuwa na uhusiano nnje ya ndoa!

I call this a true confession- Haya mambo yanatokea tusibishe na ni kwenye nyumba nyingi tu haya yanatokea hivyo tusibishe kabisa.

Ninayo mifano hai mingi tu ya hili jambo ndo maana nimeona kikae kimya katika hili.

Pole mama nanii wewe ni binadamu kama alivyo mumeo na una feelings kama alizonazo yeye. Hapa mnachofanyiana mnajiumiza wenyewe na mtaishia pabaya. Mkiamua kuwa serious ni kwenu wote kukaa chini na kuombana msamaha baada ya kukiri na muyaache hayo ya nje WOTE wawili MUACHE ( na si wewe peke yako)

La sivyo peaneni divorce ijulikane moja kila mmoja aishi kwa amani na furaha na mtu ampendaye.

Mnapoendelea kuishi nyumba moja wakati mna miaka miwili hamjashirikiana mnawadanganya wanadamu wawaone kama bado ni ndoa hai wakati ilikwishakufa siku nyingi . Kumbukeni MUNGU hadanganyingi wala hahadaiki na hizo tricky zenu so mnaendelea kuchuma dhambi za uzinifu/uasherati tu. Amueni moja.
 
mimi naona wewe kutoka nje ni HULKA YAKO TU!....
watu kibao wana matatizo ya kutosha tu,na hawatoki nje
 
dawa ni moja tu kumtegemea mungu kwanza wakati wa uchumba ili akupatie mtu wako tatizo watu wanatumia akili zao, unaweza kukuta umemvaa mtu kumbe hakuwa wako matokeo yake after time matatizo yanaanza anahaha kumsaka wake, eehh mungu inusuru ndoa hii huyo shetani ashindweee
 
Nanukuu...

Suala la nyumba ndogo halipo kwa wanaume tu hata wanawake pia tunalo! Hii inatupunguzia stress tuzipatazo kwa waume zetu! ikiwa ni pamoja na kunyimwa uroda mara kwa mara kwani wanaume walio wengi wakishajichapia nje basi hawawajali wake zao! Kwahiyo wanawake nao huamua kujitafutia vijana ili wawe wanajipongeza! Mzee akienda zake nje na mama naye anatoka kwenda kujipongeza. Mwisho wa siku ni ngoma droo!

************************​

Mimi na mumewangu tumekuwa katika ndoa kwa muda wa miaka 15 sasa. Kuna wakati mumewangu alianza kuwa na uhusiano na msichana fulani (jina kapuni) na nilipogundua yule binti alinijia juu na kusema kwamba mimi simfikishi kokote 'buzi' lake (mumewangu)!!!

Nilivumilia sana lakini mumewangu alikuwa akirudi amelewa na wakati mwingine harudi siku 2-3, hasa wakati wa mwisho wa wiki! Mumewangu alipoteza kabisa hamu ya kufanya tendo la ndoa na mimi! Niliumia sana mpaka siku moja nilipkwenda kufanya manunuzi ya vitu vya ndani sokoni kariakoo! Nilikutana na 'kijana' mmoja mtanashati katika duka wanalouza nguo na viatu! Kijana huyo alinisemesha kwa maneno matamu na mwisho wa yote tuliagana na kupeana namba za simu!

Baada ya siku kama 3, kijana huyo alinipigia simu na kunijulia hali! Ikawa ndiyo kawaida yake kupiga mara kwa mara kwani mzee wangu si 'hayupo'.... Nilianza kuvutiwa na kijana na siku aliponitamkia kwamba anaomba twende nje kwa ajili ya chakula cha jioni (dinner) nikawa sina pingamizi!

Baada ya muda kama wa mwezi mzima nikatokea kumpenda sana huyo kijana na hali yangu ilibadirika kabisa nikawa na furaha hata mumewangu akirudi nyumbani au asiporudi mimi sina wasiwasi kwani kabla sijalala nitaongea na mtu ambaye anayenijari!

Mwisho wa siku aliponitamkia kwamba anaomba nimtembelee kwake sikusita kwani niliona ndio wakati mwafaka wa 'kujuana' vizuri! Na mambo yalienda hivyo kama unavyofikiria! Nina amani na sina hata haja ya mumewangu!

Sasa imeshafika miaka mi 2 mimi na mumewangu hatujawahi kulala kitanda kimoja kwani yeye akirudi amelewa na anarudi usiku sana! Na hata akirudi anakuwa ameshamalizana huko kwa nyumba ndogo yake!

Wito: Enyi waume wapendeni wake zenu na jitahidini kuheshimu ndoa zenu kwani nyie ndio chanzo cha sisi wanawake kutoka nje ya ndoa! Kama wewe hunitimizii mahitaji yangu....unataka nifanyeje? Nibaki nateseka wakati kuna watu weeeeeeeengi kama wewe?

Ngoma droo na ukimwi droo na kifo droona kuwaacha watoto wenu droo
 
kuna mambo mengi katika haya maisha . hii Topic inanishinda hata la kusema zaidi ya kuwaombea hawa wote ili waachana na hayo yote na kuendelea na maisha yao halali ya ndoa
 

Baada ya muda kama wa mwezi mzima nikatokea kumpenda sana huyo kijana na hali yangu ilibadirika kabisa nikawa na furaha hata mumewangu akirudi nyumbani au asiporudi mimi sina wasiwasi kwani kabla sijalala nitaongea na mtu ambaye anayenijari!

Mwisho wa siku aliponitamkia kwamba anaomba nimtembelee kwake sikusita kwani niliona ndio wakati mwafaka wa 'kujuana' vizuri! Na mambo yalienda hivyo kama unavyofikiria! Nina amani na sina hata haja ya mumewangu!

Sasa imeshafika miaka mi 2 mimi na mumewangu hatujawahi kulala kitanda kimoja kwani yeye akirudi amelewa na anarudi usiku sana! Na hata akirudi anakuwa ameshamalizana huko kwa nyumba ndogo yake!


People do mistake and when they realise it....... might be too late to catch the moving train.....and thats an awful situation people might not want to experience!

Kwenye ndoa it is either you are in or you are out hakuna ku-compromise
 
Kwa vile hii ni simulizi ya upande mmoja ni vigumu sana kufanya any analysis lakini suala kubwa la kujiuliza ni jee hatua hatua hiyo ndiyo suluhisho la tatizo????
Jee hapo pana ndoa??????
Nyumba ya namna hiyo kwa uhakika haina mapenzi jee athari ya maamuzi yenu na matokeo yake kwa tabia na makuzi ya watoto itakuwaje????
Jee ikitokea nawe mama ukashika mimba ambayo ikashindwa kutoka na ukazaa hali itakuwaje kwako/mumeo/watoto/ndugu na athari zake????
 
Pape sijui PAPA au sijui Papawemba....:) Nikuscanie majibu ? Hapa full uhakika kuhusu mambo ya virusi . Nshapima mwenzio....
ogm, sijui orgasm, we scan tu watu wajisafishie macho!
 
Pepe, nimeona katika maelezo yako yoooote hakuna hata nukta moja uliyoeleza kuwa ulijaribu kukaa na mumeo ili kuzungumza juu ya tatizo na badala yake uliona kuwa uamuzi ni kuruka na huyo Serengeti Boy, Hivi unawezaje kuwahakikishia wana JF kuwa nawe tabia yako haikuwa hiyo ila tu ulikuwa unasubiria upenyo?????????
 
Mwisho wa siku aliponitamkia kwamba anaomba nimtembelee kwake sikusita kwani niliona ndio wakati mwafaka wa 'kujuana' vizuri! Na mambo yalienda hivyo kama unavyofikiria!
Mwananmke mpumbavu huivunja nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe
 
tatizo wanawake hamna maamuzi kwenye kutumia zana za kujilinda wakati wa mapenzi na especially mkitoka nje ya ndoa, how come mwanamke uliyeko kwenye ndoa unafanya mapenzi nje ya ndoa bila kutumia kondom, ndio maana tunawalaumu sana nyie, waachieni wanaume tu waendelee kwani wanajua principles za kutoka nje ya ndoa,

Nani kakuhakikishia?? Changudoaz c wanawake? Hebu niulize, ukienda kuchukua cd utamkuta hata cku 1 bila condom? Na kama ikibidi umle bila condom anakupandishia dau.. Semeni wenyewe nyie vidume.
Tatizo nyie ni wabinafsi sana. Mnafikiri wanawake hawana feelings. Sa wewe unalala kitanda kimoja na mmkeo for months bila kumpa haki yake!!! Ajifanye na ndizi au? Embu muwe mnawaza mbali kidogo, sio kufikiria haja zenu tu. Hata wanawake nao wana nyege.. Kwa hiyo, kama humtimizii mkeo, we jua tu unasaidiwa, hata kama c obvious. Eti watakufa na ukimwi. Ndio ukimwi upo lakini siku hizi watu wanadunda nao hata for 20+ years. So kama ni watoto watakua tu na by the time wazazi wanakufa watakuwa wameweza kujimudu kimaisha. Nyie wanaume wapendeni na waheshimuni wake zenu. Manake nao ni binadamu tu!! Mwanamke akitoka nje ya ndoa kosa, mwanamme akitoka ni sawa. Kwa hiyo huyo bibie akae tu ndani na nyege zake nani amshushe? Nd'o maana kina Fredy mjamaika na mashamba boy wanafaudu wake zenu alafu mkijua eti mnakuuuja juu!
Badilikeni na nyie....
 
Back
Top Bottom