Mumewangu ndio chanzo cha mimi kuwa na uhusiano nnje ya ndoa!

Huyo kijana na wewe mnawiana vipi kiumri, je kakuzidi au umemzidi? Kama kakuzidi (??????????????????)

What has age got to do with anything? Issue anayozungumzia Pape chanzo cha yeye kwenda nje ya ndoa ni mume wake. It's not a must mwanamke atafute serengeti boys kama anataka kucheat, kunao wanaopata watu wenye umri mkubwa kuwaliko. Ingawa serengeti boys are better coz they fill the void sexually!
 
Pape, huo ni uzinzi tu huna lolote...na mtakufa tu na ukimwi nyie.
Waacheni wafe tuu kwani si wanalijua hilo...kwa hiyo mwanamke asubiri kuletew, mbona mnapenda kuwaonea wanawake watafutapo haki yao pia. Mbona wanaume mkinyimwa tuu after mnakimbilia na kusingizia hizo small houses. Huu ni wakati wa usawa kwa wote...najua it is not good for all but what should they do. Kila mtu anasuluhu zake za kutatua matatizo yake.
 
Waacheni wafe tuu kwani si wanalijua hilo...kwa hiyo mwanamke asubiri kuletew, mbona mnapenda kuwaonea wanawake watafutapo haki yao pia. Mbona wanaume mkinyimwa tuu after mnakimbilia na kusingizia hizo small houses. Huu ni wakati wa usawa kwa wote...najua it is not good for all but what should they do. Kila mtu anasuluhu zake za kutatua matatizo yake.
tatizo wanawake hamna maamuzi kwenye kutumia zana za kujilinda wakati wa mapenzi na especially mkitoka nje ya ndoa, how come mwanamke uliyeko kwenye ndoa unafanya mapenzi nje ya ndoa bila kutumia kondom, ndio maana tunawalaumu sana nyie, waachieni wanaume tu waendelee kwani wanajua principles za kutoka nje ya ndoa,
 
Suala la nyumba ndogo halipo kwa wanaume tu hata wanawake pia wanalo! Hii inawapunguzia stress wazipatazo kwa waume zao! ikiwa ni pamoja na kunyimwa uroda mara kwa mara kwani mwanaume akishajichapia nje basi hamjali mkewe! Kwahiyo wanawake nao uamua kujitafutia vijana ili wawe wanajipongeza! Mzee akienda zake nje na mama naye anatoka kwenda kujipongeza. Mwisho wa siku ni ngoma droo!



Mimi na mumewangu tumekuwa katika ndoa kwa muda wa miaka 15 sasa. Kuna wakati mumewangu alianza kuwa na uhusiano na msichana fulani (jina kapuni) na nilipogundua yule binti alinijia juu na kusema kwamba mimi simfikishi kokote 'buzi' lake (mumewangu)!!!

Nilivumilia sana lakini mumewangu alikuwa akirudi amelewa na wakati mwingine harudi siku 2-3, hasa wakati wa mwisho wa wiki! Mumewangu alipoteza kabisa hamu ya kufanya tendo la ndoa na mimi! Niliumia sana mpaka siku moja nilipkwenda kufanya manunuzi ya vitu vya ndani sokoni kariakoo! Nilikutana na 'kijana' mmoja mtanashati katika duka wanalouza nguo na viatu! Kijana huyo alinisemesha kwa maneno matamu na mwisho wa yote tuliagana na kupeana namba za simu!

Baada ya siku kama 3, kijana huyo alinipigia simu na kunijulia hali! Ikawa ndiyo kawaida yake kupiga mara kwa mara kwani mzee wangu si 'hayupo'.... Nilianza kuvutiwa na kijana na siku aliponitamkia kwamba anaomba twende nje kwa ajili ya chakula cha jioni (dinner) nikawa sina pingamizi!

Baada ya muda kama wa mwezi mzima nikatokea kumpenda sana huyo kijana na hali yangu ilibadirika kabisa nikawa na furaha hata mumewangu akirudi nyumbani au asiporudi mimi sina wasiwasi kwani kabla sijalala nitaongea na mtu ambaye anayenijari!

Mwisho wa siku aliponitamkia kwamba anaomba nimtembelee kwake sikusita kwani niliona ndio wakati mwafaka wa 'kujuana' vizuri! Na mambo yalienda hivyo kama unavyofikiria! Nina amani na sina hata haja ya mumewangu!

Sasa imeshafika miaka mi 2 mimi na mumewangu hatujawahi kulala kitanda kimoja kwani yeye akirudi amelewa na anarudi usiku sana! Na hata akirudi anakuwa ameshamalizana huko kwa nyumba ndogo yake!

Wito: Enyi waume wapendeni wake zenu na jitahidini kuheshimu ndoa zenu kwani nyie ndio chanzo cha sisi wanawake kutoka nje ya ndoa! Kama wewe hunitimizii mahitaji yangu....unataka nifanyeje? Nibaki nateseka wakati kuna watu weeeeeeeengi kama wewe?


Fictious
 
tatizo wanawake hamna maamuzi kwenye kutumia zana za kujilinda wakati wa mapenzi na especially mkitoka nje ya ndoa, how come mwanamke uliyeko kwenye ndoa unafanya mapenzi nje ya ndoa bila kutumia kondom, ndio maana tunawalaumu sana nyie, waachieni wanaume tu waendelee kwani wanajua principles za kutoka nje ya ndoa,
hata wanawake wanajua prinsipo za kufanya hivyo nnje ya ndoa! acheni nao wajipe raha huko...mkuki kwa nguruwe eeeh?
 
Suala la nyumba ndogo halipo kwa wanaume tu hata wanawake pia wanalo! Hii inawapunguzia stress wazipatazo kwa waume zao! ikiwa ni pamoja na kunyimwa uroda mara kwa mara kwani mwanaume akishajichapia nje basi hamjali mkewe! Kwahiyo wanawake nao uamua kujitafutia vijana ili wawe wanajipongeza! Mzee akienda zake nje na mama naye anatoka kwenda kujipongeza. Mwisho wa siku ni ngoma droo!



Mimi na mumewangu tumekuwa katika ndoa kwa muda wa miaka 15 sasa. Kuna wakati mumewangu alianza kuwa na uhusiano na msichana fulani (jina kapuni) na nilipogundua yule binti alinijia juu na kusema kwamba mimi simfikishi kokote 'buzi' lake (mumewangu)!!!

Nilivumilia sana lakini mumewangu alikuwa akirudi amelewa na wakati mwingine harudi siku 2-3, hasa wakati wa mwisho wa wiki! Mumewangu alipoteza kabisa hamu ya kufanya tendo la ndoa na mimi! Niliumia sana mpaka siku moja nilipkwenda kufanya manunuzi ya vitu vya ndani sokoni kariakoo! Nilikutana na 'kijana' mmoja mtanashati katika duka wanalouza nguo na viatu! Kijana huyo alinisemesha kwa maneno matamu na mwisho wa yote tuliagana na kupeana namba za simu!

Baada ya siku kama 3, kijana huyo alinipigia simu na kunijulia hali! Ikawa ndiyo kawaida yake kupiga mara kwa mara kwani mzee wangu si 'hayupo'.... Nilianza kuvutiwa na kijana na siku aliponitamkia kwamba anaomba twende nje kwa ajili ya chakula cha jioni (dinner) nikawa sina pingamizi!

Baada ya muda kama wa mwezi mzima nikatokea kumpenda sana huyo kijana na hali yangu ilibadirika kabisa nikawa na furaha hata mumewangu akirudi nyumbani au asiporudi mimi sina wasiwasi kwani kabla sijalala nitaongea na mtu ambaye anayenijari!

Mwisho wa siku aliponitamkia kwamba anaomba nimtembelee kwake sikusita kwani niliona ndio wakati mwafaka wa 'kujuana' vizuri! Na mambo yalienda hivyo kama unavyofikiria! Nina amani na sina hata haja ya mumewangu!

Sasa imeshafika miaka mi 2 mimi na mumewangu hatujawahi kulala kitanda kimoja kwani yeye akirudi amelewa na anarudi usiku sana! Na hata akirudi anakuwa ameshamalizana huko kwa nyumba ndogo yake!

Wito: Enyi waume wapendeni wake zenu na jitahidini kuheshimu ndoa zenu kwani nyie ndio chanzo cha sisi wanawake kutoka nje ya ndoa! Kama wewe hunitimizii mahitaji yangu....unataka nifanyeje? Nibaki nateseka wakati kuna watu weeeeeeeengi kama wewe?

Can't blame you.
 
Waacheni wafe tuu kwani si wanalijua hilo...kwa hiyo mwanamke asubiri kuletew, mbona mnapenda kuwaonea wanawake watafutapo haki yao pia. Mbona wanaume mkinyimwa tuu after mnakimbilia na kusingizia hizo small houses. Huu ni wakati wa usawa kwa wote...najua it is not good for all but what should they do. Kila mtu anasuluhu zake za kutatua matatizo yake.

Penny siku zote mkuki kwa nguluwe ...
 
Haya mambo yapo mimi nafikiri watu wengine hasa wanaume mnaangalia upande wenu tu. Kuna binadamu asiyetaka furaha na faraja katika moyo wake jamani; sasa yeye kaamua kuwa na wake wapembeni ni vyema na hii inasaidia upande mwingine kupunguza machungu; ingawa ktk ndoa Jino kwa Jino si vyema. Cha kumshauri alichotakiwa fanya kabla ya yote kujua tatizo lake (Mke) lipo wapi, unaweza kuta mume akirudi umevuta mdomo utanataka kugusa kitovu au ndio unaongea mpaka majogoo. Na je mlipooana hujua mumeo ni mlevi? Hawa wajamaa wapo kama watoto saa nyingine yahitaji moyo na uwe jasiri haswa kuweka nao mambo sawa. Je hiyo familia ina watoto? Inakuwaje kama mkileteana maradhi ktk nyumba. Katika hali kidunia condom mtatumia mwanzoni tu ikifika mmezoeana lazima mlane kavu kavu na huyo kijana anajua haswa wewe ni mke wamtu hawezi kukuoa lazima na yeye anakuwa na mwenza wake ambaye watakua na muda ata wa kuspend usiku kucha naye maana am not sure kama wewe waweza usirudi nyumbani kama mumeo. Tembea nje ya ndoa ile muheshimu mumeo si kwamba anatembea nje ya ndoa ndio you wont give a damn about him.
 
Haya mambo yapo mimi nafikiri watu wengine hasa wanaume mnaangalia upande wenu tu. Kuna binadamu asiyetaka furaha na faraja katika moyo wake jamani; sasa yeye kaamua kuwa na wake wapembeni ni vyema na hii inasaidia upande mwingine kupunguza machungu; ingawa ktk ndoa Jino kwa Jino si vyema. Cha kumshauri alichotakiwa fanya kabla ya yote kujua tatizo lake (Mke) lipo wapi, unaweza kuta mume akirudi umevuta mdomo utanataka kugusa kitovu au ndio unaongea mpaka majogoo. Na je mlipooana hujua mumeo ni mlevi? Hawa wajamaa wapo kama watoto saa nyingine yahitaji moyo na uwe jasiri haswa kuweka nao mambo sawa. Je hiyo familia ina watoto? Inakuwaje kama mkileteana maradhi ktk nyumba. Katika hali kidunia condom mtatumia mwanzoni tu ikifika mmezoeana lazima mlane kavu kavu na huyo kijana anajua haswa wewe ni mke wamtu hawezi kukuoa lazima na yeye anakuwa na mwenza wake ambaye watakua na muda ata wa kuspend usiku kucha naye maana am not sure kama wewe waweza usirudi nyumbani kama mumeo. Tembea nje ya ndoa ile muheshimu mumeo si kwamba anatembea nje ya ndoa ndio you wont give a damn about him.


Well said Jeni!
 
nakumbukaga nilishawahi kuandika hapa kuwa ma best frnd nae alifanyaga haya ili kumaliza machungu ya mr wake kumtenda kila wakati, nae alilowea huko kabisaaa sema yeye alikuwa na relation na mume wa mtu nae mwenye matatizo yake huko kwa mkewe bac wakakutana na kupooza machungu yao,sasa hivi ana mimba kubwa tu na ni ya huyo lizee la nje, lakini hapa mie nawalaumu waume jamani, sasa nyie mkitunyima haki zetu mnataka cc tufanyaje?...na wengine ndio wanapata vishawishi kama hivi....waume wapendeni/wajalini/wapeni haki zao wake zenu.
 
nakumbukaga nilishawahi kuandika hapa kuwa ma best frnd nae alifanyaga haya ili kumaliza machungu ya mr wake kumtenda kila wakati, nae alilowea huko kabisaaa sema yeye alikuwa na relation na mume wa mtu nae mwenye matatizo yake huko kwa mkewe bac wakakutana na kupooza machungu yao,sasa hivi ana mimba kubwa tu na ni ya huyo lizee la nje, lakini hapa mie nawalaumu waume jamani, sasa nyie mkitunyima haki zetu mnataka cc tufanyaje?...na wengine ndio wanapata vishawishi kama hivi....waume wapendeni/wajalini/wapeni haki zao wake zenu.

......Yaani hivi vitu vinatokea sana kwenye jamii, hii story uliyoandika wewe hata mie mwenyewe kuna mdada namfahamu na yeye ilikuwa hivyo hivyo.
Tatizo hili jambo akifanya mwanamke anaonekana kama yeye ndio mwenye kosa, kumbe mume anamsahau mkewe hadi mke anaamua na yeye kwenda kuburudika nje.
 
Hivi akina dada kwa nn mnalipiza ubaya kwa uovu? Ukitulia kwani kitumbua kitavunda?
 
......Yaani hivi vitu vinatokea sana kwenye jamii, hii story uliyoandika wewe hata mie mwenyewe kuna mdada namfahamu na yeye ilikuwa hivyo hivyo.
Tatizo hili jambo akifanya mwanamke anaonekana kama yeye ndio mwenye kosa, kumbe mume anamsahau mkewe hadi mke anaamua na yeye kwenda kuburudika nje.


huyu frnd wangu mr wake alimsumbua sana tena sana, na alifanya jitihada zote kuinusuru ndoa yake lakini mr alikuwa ndio kama anachchewa vile, kuna cku mr alicndikizwa mpka getini na mwanamke na wife kafungua geti mwanamke ndio anashuka kwnye gari anamuachia mr aingize gari ndani, can u imagine mtu unajickiaje hapo?..mie mpaka nilikuwa nikiona cal yake hivi najua tu ni matatizo, mpaka maamuzi aliyochukua na mr wake atalea mtoto anaendhani ni wake kumbe sio...hakuna wa kumbadilisha akili frnd wangu kwasasa, juzi nilivyokuwa likizo alikuja moshi kuniona na huyo mzee wake, yaani anani introduce bila wac kabisa, na mapenzi moto moto...jamani jamani hiz ndoa zetu cjui tuzifanyaje.
 
Hivi akina dada kwa nn mnalipiza ubaya kwa uovu? Ukitulia kwani kitumbua kitavunda?

mngejua jinc mnavyotuumizaga ucngesema hayo, mie ndio mana nasemaga bac mtu afanye kwa kujiheshimu/kujitambua, sio afanye kama vile ndio anatafuta mchumba wa kuoa, yupo free hajali feelings za mwenzie kabisa, bwana tutaonana wabaya tu mana magonjwa ya wazi wazi hapana...mtumie akili zenu huko kama mnaona ni lazima kukiduana nje ya ndoa zenu vinginevyo bwana mie nitaharibu kabisa, yaani hata akitaka kunirudia ndugu zake wamkalishe chini kumkanya acnirudie.
 
mngejua jinc mnavyotuumizaga ucngesema hayo, mie ndio mana nasemaga bac mtu afanye kwa kujiheshimu/kujitambua, sio afanye kama vile ndio anatafuta mchumba wa kuoa, yupo free hajali feelings za mwenzie kabisa, bwana tutaonana wabaya tu mana magonjwa ya wazi wazi hapana...mtumie akili zenu huko kama mnaona ni lazima kukiduana nje ya ndoa zenu vinginevyo bwana mie nitaharibu kabisa, yaani hata akitaka kunirudia ndugu zake wamkalishe chini kumkanya acnirudie.

Mtu akisha dhamilia kutenda atatenda tu hata umshauri vp, ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom