Mkatavimeo
JF-Expert Member
- Jan 3, 2011
- 2,150
- 868
Mbona kawaida tu? Hii dunia ya kisasa bana! Tatizo wabongo utasikia mara kapigwa shuntama, mara kapigwa silangambe oooh mara kapigwa kamshoize! Kumbe hamna nini wala nini, bali ni kusaidiana tu!
Jamani mi pia natafuta wa quality hii
Jamani mi pia natafuta wa quality hii
kama yupo humu kama huyu tuonane jamani....:wave::wave:
What's wrong with this? mi sioni ubaya.
Tena naona mazingira yao ya ulaya haya
Yoooote mi naona ni sawa tu ila kuna kimoja:
Nisimkute kakalia mbuzi anakuna nazi. :nono:
Jamani mi pia natafuta wa quality hii
Halafu wewe bwana akirudi tu nyumbani Bi Kisebengo na hujapika, utakula kipigo urudi kwenu!