Mume wangu karogwa.

Kima mdogo

JF-Expert Member
Sep 17, 2011
303
46
Alikua mume mwema sana,Mwenye upendo wa hali ya juu sana na mimi na mwanae,Alianza kubadilia baada ya mimi kubeba mimba,Alikua mkatili sana kwangu na hakunijali kabisa kwa kipindi chote cha ujauzito,Niliumia lakini nilijipa moyo kw huenda ni kutokana na ujauzito,...nilishtuka sana baada ya kujifungua mtoto wa kiume anayefanana naye sana akanitamkia kwa mdomo wake kuwa hamtaki huyo mtoto na ni bora ningekufa na mimba,Kwakweli iliniuma sana nikafatilia na kugundua kuwa anamwanamke anayedaiwa kazaa naye japo haina hakika km mtoto ni wake,Na inasadikika kuwa mwanamke huyo anauhusiano wa kimapenzi wa muda mrefu na mfanyakazi wa mume wangu ambaye yeye ndo alifanikisha kumtegea mume wangu dawa ili awe na uhusiano na mwanamke huyo (mwenye watoto 3) na wanashirikiana kumwendea kwa mganga ili amjengee huyo mwanamke nyumba. Nisaidieni nifanyaje jamani
 
dawa Ya moto,Ni Kuuzima!
Utauzima Vipi?
Nawe Nenda Kamroge Ili Uendelee Kuongoza Majeshi!!
MDA NDIO HUU,KIMBIA FASTA!
 
Alikua mume mwema sana,Mwenye upendo wa hali ya juu sana na mimi na mwanae,Alianza kubadilia baada ya mimi kubeba mimba,Alikua mkatili sana kwangu na hakunijali kabisa kwa kipindi chote cha ujauzito,Niliumia lakini nilijipa moyo kw huenda ni kutokana na ujauzito,...nilishtuka sana baada ya kujifungua mtoto wa kiume anayefanana naye sana akanitamkia kwa mdomo wake kuwa hamtaki huyo mtoto na ni bora ningekufa na mimba,Kwakweli iliniuma sana nikafatilia na kugundua kuwa anamwanamke anayedaiwa kazaa naye japo haina hakika km mtoto ni wake,Na inasadikika kuwa mwanamke huyo anauhusiano wa kimapenzi wa muda mrefu na mfanyakazi wa mume wangu ambaye yeye ndo alifanikisha kumtegea mume wangu dawa ili awe na uhusiano na mwanamke huyo (mwenye watoto 3) na wanashirikiana kumwendea kwa mganga ili amjengee huyo mwanamke nyumba. Nisaidieni nifanyaje jamani

kama una hakika na unayoyasema, basi waeleze ukweli wahusika wote watatu, hyo mwanamke, mfanyakazi na baadae mume, ukweli unamuweka mtu huru na kama huyo mwanamume atasimamia msimamo wake, muacha tu aendelee usiumie sana roho kwa ajili ya mwanamume ambeye ni binadamu mwenzako, ni kweli inauma sana lakini jipe moyo , kusanya nguvu jipange uanze maisha bila yeye, najua inawezekana kabisa, jiweke kwenye nafasi ya mjane... remember life must go on, no matter what! pole dear ndio maisha hayo
 
Alikua mume mwema sana,Mwenye upendo wa hali ya juu sana na mimi na mwanae,Alianza kubadilia baada ya mimi kubeba mimba,Alikua mkatili sana kwangu na hakunijali kabisa kwa kipindi chote cha ujauzito,Niliumia lakini nilijipa moyo kw huenda ni kutokana na ujauzito,...nilishtuka sana baada ya kujifungua mtoto wa kiume anayefanana naye sana akanitamkia kwa mdomo wake kuwa hamtaki huyo mtoto na ni bora ningekufa na mimba,Kwakweli iliniuma sana nikafatilia na kugundua kuwa anamwanamke anayedaiwa kazaa naye japo haina hakika km mtoto ni wake,Na inasadikika kuwa mwanamke huyo anauhusiano wa kimapenzi wa muda mrefu na mfanyakazi wa mume wangu ambaye yeye ndo alifanikisha kumtegea mume wangu dawa ili awe na uhusiano na mwanamke huyo (mwenye watoto 3) na wanashirikiana kumwendea kwa mganga ili amjengee huyo mwanamke nyumba. Nisaidieni nifanyaje jamani

Kamuombee afunguliwe ndio kiboko ya wachawi... but be careful na watumishi wengine ni feki
 
Kuna njia mbili,chagua ya kwenda
(NJIA YA KWANZA)
Funga maombi ya siri umwombee mumeo.
Hali uliyonayo imewakuta wanawake wengi na waliofanikiwa wameshinda kwa sala.Mfungue mumeo atoke aliko ikiwemo wewe kutobishana nae,kumpenda hadi ye ashangae,onyesha mabadiliko mema yatakayoshitaki dhamira yake.KUMBUKA UTII ni silaha bora zaidi kwa sasa.USITAKE MABADILIKO YATOKEE HARAKA.
(NJIA YA PILI)
ni wewe kwenda kwa waganga pia umrudishe mumeo ila hasara ya njia hii ni hatari,inaongeza adui,unaweza kuzidiwa na mwezio kama kweli unaamini amerogwa.BINAFSI sikushauri utumie njia hii maana madhara yake ni kuleta huzuni zaidi kwako na wengi waliopita njia hii sasa wanajuta.
 
Do you believe in superstition? I dont think the problem is with the guys who bewitch your husband. Just have a serious look who has got problems you will reliaze its your lovely husband. Kujiroga tunajiroga wenyewe
 
Kuna njia 2 za kupitia

1. FIGHT FOR YOU SURVIVAL
Nenda ustawi wa jamiii kablock 75% ya Kimshahara cha mumeo ofisini ili umuhudumie mtoto,
Mtafute huyo shankupe umpe kipondo afu mlaze ndani wiki nzima( ni haki yako kikatiba)
Muweke vikao lukuki mumeo na wazazi wake, muaibishe kwa mchungaji na rafikize kwa kulalamika mateso

2. Do nothing and pray!!!!! Ila jiulize je wewe ni msafi wa moyo? sala za wasiwasi hazifiki upesim.


Ushauri wangu pambana njia za kinondoni hapo namba 1 hata mganga haoni ndani, ubabe ubabe tuuuuuu!
 
fasting coupled with persistent prayers will certainly yield exiting incredible results
 
fasting coupled with persistent prayers will certainly yield exiting incredible results
 
mumeo kajiroga mwenyewe kwa tamaa zake.....

Ila kama unadhani karogwa, kaa funga omba....

Then fuata solution namba 1 alokupa lara 1.......

Ila kuna wanawake mna moyo isee, unamjua mwizi wako halafu umetulia.......... Baadhi Wanawake Wengine timbwili lake mwizi atahama mji na mume ndani ataishi kwa mashaka.....
 
Last edited by a moderator:
2012 hii bado tunaongelea mambo ya kurogwa? Mume wako hakuwa na mapenzi ya dhati kwako na jeuri yake itabaki pale pale ukimuachia. Yaani kimada chake na wengine unawajua lakini bado upo tu. Ongea nae, ikishindikana jipange upya au subiri aidha kufukuzwa au magonjwa.



Alikua mume mwema sana,Mwenye upendo wa hali ya juu sana na mimi na mwanae,Alianza kubadilia baada ya mimi kubeba mimba,Alikua mkatili sana kwangu na hakunijali kabisa kwa kipindi chote cha ujauzito,Niliumia lakini nilijipa moyo kw huenda ni kutokana na ujauzito,...nilishtuka sana baada ya kujifungua mtoto wa kiume anayefanana naye sana akanitamkia kwa mdomo wake kuwa hamtaki huyo mtoto na ni bora ningekufa na mimba,Kwakweli iliniuma sana nikafatilia na kugundua kuwa anamwanamke anayedaiwa kazaa naye japo haina hakika km mtoto ni wake,Na inasadikika kuwa mwanamke huyo anauhusiano wa kimapenzi wa muda mrefu na mfanyakazi wa mume wangu ambaye yeye ndo alifanikisha kumtegea mume wangu dawa ili awe na uhusiano na mwanamke huyo (mwenye watoto 3) na wanashirikiana kumwendea kwa mganga ili amjengee huyo mwanamke nyumba. Nisaidieni nifanyaje jamani
 
Baada ya kusoma maelezo yako cjakuelewa ni kwamba jamaa anayeshea penzi na mumeo ilkuwaje yeye tena asaidie huyo dem kumroga mmeo ili ahamishie majeshi kwa mwnamke wake tena , maana umesema huyo mwanamke anatembea na mfanyakazi wa mmeo na ndiye aliyefanikisha kumuwekea libwata mmeo, Aaaah hapo Sasa, ila dawa ya moto ni moto, na wewe mtafute huyo mfanyakazi wa mmeo cheza naye dili ili upate kunako undani wa mambo then , kamtego mnaweza mnaweza fanikiwa, Kamataaaa mwizi bwanaaaa
 
Back
Top Bottom