King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,779
Ila babu hakuna kitu kinakera kwenye mapenzi kama kuleeteana pozi zisizo na msingi. Nyumbani umesuswa, na kununiwa juu. Ukitoka tu kuna mijamaa inakupigia simu na kukubembeleza ngoja nikupeleke lunch mtoto mzuri. Unajikausha. Inaudhi zaidi mtu anakupigia naomba twende lunch. Ukigoma anauliza ama mr anakufuata? Unajichekelesha tu maskink!
Kha!
Kha!
Kwa ufupi Komando wangu King'asti, huyo mwanamume ni mpumbavu.......
Kama hamtaki dada wa watu, kwa nini asivunje ndoa kila mtu akaanza maisha yake?? Ila pia kitendo cha kusikiliza ushauri wa dada zake na akaufanyia kazi kwa namna ya kipuuzi kama hiyo, kunamfanya naye awe kama dada vile (sorry, kama kuna watu nimewakwaza)!
Kwa huyo dada (Lonely heart), namshauri ajipange upya na kuanza maisha mapya. He simply lost a husband a long time ago!!
Babu DC!!
Last edited by a moderator: