Gaga
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,558
- 1,968
- Thread starter
- #61
jamani mafuruto wewe hujawahi kupata matatizo ee sasa huyo dada angeuliza nini wakati hata hicho kilele hakijui?alivyogundua kuna hicho kitu akauliza hata mimi nina rafiki yangu alikuwa hajui hicho kilele
Nakubali ya dunia ni mengi, ila pia umeulizwa swali la msingi: Kwa nini hukutafuta ushauri au msaada kwanza kabla ya kwenda nje ?
Unanikumbusha story moja iliwahi kuletwa na mtu humu kuwa eti ana rafiki yake, na huyo dada anadai kaolewa zaidi ya miaka 10, ana watoto 2 na hajawahi kufkishwa kule juu hata siku moja. Sasa watu wakajiuliza yaani miaka yote hiyo amekaa tuu, hajawahi kuuliza kulikoni, au hata ongea na mwenzie mpaka akaamua kuwa malaya kwa kisingizio hicho ?