mume wangu jamani

Yani we umetoka nje kwanza alafu ndo utafute utatuzi wa tatizo??Kwanini hukuanza na kuomba ushauri..kujaribu kurekebisha mambo yenu na kutatua tatizo mlilokua nalo??MICHELLE UKO WAPI MAMA?Kwa style hamna kudanganyika!

Nimeshangaa sana Lizzy,kumbe kuna waliopo huko lakini sex hamna,wanajiridhisha wenyewe??
 
ameenda hadi kwao kashindwa kusema anaona aibu
 
1.
Mungu si sawa na mganga wa kienyeji, kama humwamini Mungu si rahisi kuziona rehema zake kwani mwenye haki wake huishi kwa imani.
2.
hiyo nyumba yako inaonekana si ushuhuda mzuri wa ndoa takatifu. nlivyoelewa mimi ni kuwa mumeo alikuwa wa kwanza kutoka nje ya ndoa, na wewe kwa kuendekeza tamaa zako hasa mumeo alipopoteza appetite na wewe nawe ukaanza kutoka nje ya ndoa, ulipoona bado nyumba haijakaa sawa ukaanza kjichua tena unasema ulifurahia hako kamchezo, mwisho unageukia JF kutafuta ushauri, na bado una mawazo ya mganga. this is a fatal syndrome in your home! you need a complete overhaul of yourself and your family. kumgeukia Mungu kama unavyogeukia panadol ukiumwa na kichwa siyo sawa. Mungu wapaswa kumwendea kwa imani na lazima maisha yako pia yawe maisha ya mtu mwenye imani kwa Mungu.
3.
hapao kwenye ndoa yako mumemkaribisha ibilisi sasa anawaendesha mchakamchaka. mwapaswa kumkana ibilisi na mambo yake yote. mkichukua hatua ya pamoja wewe na mumeo ni vizuri, ila mumeo akiwa mgumu, wewe mwenyewe chukua a leading role. vaa utu wema wa mke mwema na ingia kwenye maombi bla kuchoka Mungu atasikia kilio chako

ubarikiwe sana

Very true, very true very true.
Compliments for this contribution, nadhani atazingatia.
 
ahsante miss judith kwa ushauri
1.
Mungu si sawa na mganga wa kienyeji, kama humwamini Mungu si rahisi kuziona rehema zake kwani mwenye haki wake huishi kwa imani.
2.
hiyo nyumba yako inaonekana si ushuhuda mzuri wa ndoa takatifu. nlivyoelewa mimi ni kuwa mumeo alikuwa wa kwanza kutoka nje ya ndoa, na wewe kwa kuendekeza tamaa zako hasa mumeo alipopoteza appetite na wewe nawe ukaanza kutoka nje ya ndoa, ulipoona bado nyumba haijakaa sawa ukaanza kjichua tena unasema ulifurahia hako kamchezo, mwisho unageukia JF kutafuta ushauri, na bado una mawazo ya mganga. this is a fatal syndrome in your home! you need a complete overhaul of yourself and your family. kumgeukia Mungu kama unavyogeukia panadol ukiumwa na kichwa siyo sawa. Mungu wapaswa kumwendea kwa imani na lazima maisha yako pia yawe maisha ya mtu mwenye imani kwa Mungu.
3.
hapao kwenye ndoa yako mumemkaribisha ibilisi sasa anawaendesha mchakamchaka. mwapaswa kumkana ibilisi na mambo yake yote. mkichukua hatua ya pamoja wewe na mumeo ni vizuri, ila mumeo akiwa mgumu, wewe mwenyewe chukua a leading role. vaa utu wema wa mke mwema na ingia kwenye maombi bla kuchoka Mungu atasikia kilio chako

ubarikiwe sana
 
mafuruto ya dunia ni mengi na kama hayajakukuta huwezi jua inakuwaje kabisa

Ni kweli my dear,wala hauko mwenyewe,sisi wote ni binadamu na hukosea na tumepungukiwa utukufu wa Mungu,ila uwe unatafuta suluhisho la kudumu,si starehe za haraka haraka na za muda mfupi,look for sustainable solutions,nje ya ndoa unapoteza amani,kujiamini na kukosa thamani binafsi na mapepo pia waweza kusanya huko,na pengine huyo mfanyakazi mwenzio nae alikuwa ameoa.......ni tatizo juu ya tatizo....

Tuna mama zetu wamepita huko huko,lakini hawakuwa na maamuzi mepesi na marahisi na ndo maana wanatushauri,ukisikia mama anakuambia mwanangu ukavumilie,ndo wanajua kuna matatizo kama haya ya mumeo,wanashirikiana na waume zao na kumlilia Mungu hadi yanaisha na ndoa zinadumu,zinakuwa za furaha.....
 
mimi nimeolewa miaka mingi iliyopita nimeishi kwa amani na upendo na mume wangu,pia mungu katujalia watoto na mali lukuki, kwa kifupi sina shida.ila sasa matatizo yameingia ndani ya nyumba.
huu ni mwaka wa nne mume hawezi ku make love na mimi ila kukuta na msg za madem nakuta,moyoni najiuliza hivi hawa nao anatia nao story tu?nilivumilia sana nikaanza kutembea nje,wa kwanza mwanachuo mwenzangu yaani upuuzi mtupu mapenzi hamfikii hata robo mume wangu,wa pili mfanyakazi mwenzangu nae ndo kabisaa akicome anajipiga kichwa then analia kama mbuzi hee:frusty: mwisho nikaamua nitulie tu home.
mwaka mmoja nyuma nikabuni kamtindo ka kujiridhisha mwenyewe nikaona raha ajabu mpaka miezi minne nyuma nikambana mume akakubali NJE AKIENDA ANAPIGA MZIGO KAMA KAWA AKIJA KWANGU ANASHINDWA!!!!! jamani wana jf wenzangu nisaidieni mwanamke wake kamloga au mimi ndio nina matatizo? na kama ni mm mbona wale watu walipiga mzigo kama kawa?? na mbona akiwa anataka kufanya mapenz jogoo anawika akinigusa tu inasinyaa jamani duniani kuna mambo na mateso ya kila aina
kuna mtu kanishauri niende kwa mganga mwanamke wake wa nje kamloga.niende?kuna mtu tatizo kama hili lishampata?nifarijini na mnishauri mwenzenu nateseka sana.

hapo red hapo. :majani7::majani7::majani7:
 
nimesali sana sister yaani mpaka yamenifika shingoni
sema labdaniendelee tu nikubali matokeo na kuamini matatizo yataisha hata kama hayataisha milele
 
sorry kama nimewachefua kwa kifupi duniani mambo kama hayo ni mengi na kama hukupata ushauri kipindi hicho ungesikia mengi zaidi ya hayo.wengi wapo humu ila kusema hawawezi

Hujachefua mtu,labda wameshtuka tu,we wasome,chagua likufaalo,songa mbele!!!
 
yupo na hajaoa mkewe atakuwa na kazi ya ziada
 
usishangae michelle ingieni huko mtaona mengi zaidi ya haya ya kwangu usione watu humu wanatoa coment za kujifanya wasafi wana mambo mazito nyumbani kwao tukikaa wanawake kumi tulioolewa na kila mtu akasema lake unaweza kimbia nyumbani na kuona afadhali haya yangu madogo.
 
Yani we umetoka nje kwanza alafu ndo utafute utatuzi wa tatizo??Kwanini hukuanza na kuomba ushauri..kujaribu kurekebisha mambo yenu na kutatua tatizo mlilokua nalo??MICHELLE UKO WAPI MAMA?Kwa style hamna kudanganyika!

jaman msimsute tena
ashagundua km amekosea na ANAOMBA MSAADA ..ingekuwa vyema km mngemsaidia mawazo sasa,,,,
watu wanakosea meng lakin mtu akijirud anaitaj maelekezo na si kumsimanga aliyofanya mwaka juzi...
NAOMBEN TUMSHAuri na tusiesabu kafanya makosa mangapi since ameadmit km alikosea.
 
nimesali sana sister yaani mpaka yamenifika shingoni
sema labdaniendelee tu nikubali matokeo na kuamini matatizo yataisha hata kama hayataisha milele

are u sure hakuna kitu kinaathiri saikolojia ya mume wako? ongea nae kama mume wako inawezekana kuna kitu kinam turn off wakati mnapokabiliana kwa sex. kabla kufikiria kulogwa jaribu kuangalia mazingira mnayoishi kwanza. kuna external na internal factors nyingi ambazo zinaweza kum turn off mwanaume during sex especially mwanaume kama sio wild on bed, na once damage done its hard to recover.

somo litaendelea.
 
nimesali sana sister yaani mpaka yamenifika shingoni
sema labdaniendelee tu nikubali matokeo na kuamini matatizo yataisha hata kama hayataisha milele

Tena wakati umekata tamaa ndo Mungu yuko karibu kukujibu,Hold on Gaga,keep going!!!
 
Back
Top Bottom