Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,621
- 3,513
Yani we umetoka nje kwanza alafu ndo utafute utatuzi wa tatizo??Kwanini hukuanza na kuomba ushauri..kujaribu kurekebisha mambo yenu na kutatua tatizo mlilokua nalo??MICHELLE UKO WAPI MAMA?Kwa style hamna kudanganyika!
Nimeshangaa sana Lizzy,kumbe kuna waliopo huko lakini sex hamna,wanajiridhisha wenyewe??