Gaga
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,558
- 1,968
- Thread starter
- #221
Pole kwa yote,kwanza ushauri wangu huu:wanaume hufuata vionjo tofauti nje ya ndoa,yaelekea ulimboa ndo maana alianza kutoka,hivyo anza kwa kujirekebisha,jiweke fresh yaani uvutie;vitu vidogovidogo kama kuvaa poa(chupi za kuvutia,nguo za kuvutia n.k),pia kuoga fresh,nyoa chini,kwa ujumla kuwa kama vile madada poa wanavyojiweka ili umvutie.unajua msemo usemwao kiume kwamba treat your wife like a bitch!!!yaani unatakiwa mmeo akuone kama bitch kila wakati ili umvutie.Pia mnapokuwa bed,anza kwa kumtamanisha penzi usimsubiri yeye asimamishe dudu ndo akupande bali mfanyie mambo,mi kwa mfano napenda mwanamke ambaye ikiwezekana atanifanya nikojoe kabla hata sijamfanya vile vile na nyie wanawake,sisi wanaume twafurahi tukiona chupi ya mwanamke inaloa kabla hatujaanza mambo hii inavutia sana,pia kubadili style na mambo kama hayo,kila siku mme akuone mpya hatatoka kamwe,lakini kama atakuwa anakuja anakuta unanuka maziwa au hujaoga au chupi ya jana unayo mpaka leo au chini panatema unategemea nini?wewe mwenyewe ulipokuwa unatoka kukutana na jamaa wa nje nategemea ulikuwa unaenda ki vingine ili kuwavuta jamaa,basi mfanyie mmeo hivyo hivyo,ndo maana wanaume wanasema k*** ya nje tamu
Ahsante sana haya mambo nimefanya sana ndugu yangu, si unajua binadamu akiamua jambo lake haijalishi unamfanyia nini. ushauri mzuri taufanyia kazi aiseee