ukiona hivyo hamu yake na wewe imepungua yaani kakuzoea sana hivo anatafuta kitu kimpandishe mzuka akija kwako anafakamia tena anaweza hata akawazia yale aloyaona mpaka anamaliza mchezo. mwambie unajua ili aache mapema ilo ni tatizo ndugu yangu unalilea
Kuna movie moja inaitwa Love Sex and eating the bones, inashabiana na maelezo uloyatoa hapo, namshauri Yeniba ajaribu kuitafuta na kuiangalia, Labda jamaa yake anaweza kuwa na tatizo la aina hiyo.