Ndugu wana jamii kuna dada ameniomba ushauri kutaka kujua hasa ni kwa nini mumewe anapenda kuangalia picha za ngono. Anauliza au ni tabia za wanaume wengi au mumewe ana kitu gani?
Anasema hivi.. mumewe huwa ni mtu wa kuchelewa kulala mida anayolala ni saa sita kwenda mbele. Huwa ana tendecy ya kutoka kidogo jioni hasa akishakula chakula cha jioni. Na anapotoka huwa hachukui muda sana anarudi. Sasa akirudi huwa anakuwa sebuleni peke yake mkewe na watoto na watu wengine wakati hou wameshakwenda kulala. Anasema kitu kilichomfanya ajue huwa anaangalia picha za ngono akiingia chumbani ni lazima awe amefungua suruali na kuvua shati. Anasema alifanya uchunguzi kujua anafanya nini akiwa hapo sebuleni siku hiyo akanyata toka chumbani akamkuta anaangalia hayo mambo ila hakumwambia na hakutaka ajue kuwa amemuona ameobserve several time mchezo ndio huo na mpaka sasa hajamuonyesha mumewe kuwa anafahamu anafanya nini? Anachotaka ni kujua mumewe anaweza kuwa na shida gani?
Anasema hivi.. mumewe huwa ni mtu wa kuchelewa kulala mida anayolala ni saa sita kwenda mbele. Huwa ana tendecy ya kutoka kidogo jioni hasa akishakula chakula cha jioni. Na anapotoka huwa hachukui muda sana anarudi. Sasa akirudi huwa anakuwa sebuleni peke yake mkewe na watoto na watu wengine wakati hou wameshakwenda kulala. Anasema kitu kilichomfanya ajue huwa anaangalia picha za ngono akiingia chumbani ni lazima awe amefungua suruali na kuvua shati. Anasema alifanya uchunguzi kujua anafanya nini akiwa hapo sebuleni siku hiyo akanyata toka chumbani akamkuta anaangalia hayo mambo ila hakumwambia na hakutaka ajue kuwa amemuona ameobserve several time mchezo ndio huo na mpaka sasa hajamuonyesha mumewe kuwa anafahamu anafanya nini? Anachotaka ni kujua mumewe anaweza kuwa na shida gani?