Kamanda
Senior Member
- Dec 5, 2007
- 150
- 176
Nimepokea taarifa muda huu huu kuwa mume wa Naibu Waziri gaudencia Kabaka, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo, nafuatilia kujua hali halisi. Lakini habari zaidi zinaeleza amefariki akiwa nyumba ya wageni aliyofikia jana akiwa njiani kwenda kwenye shughuli zake za kazi mikoani. Taarifa zaidi zafuata baadaye