Annina
JF-Expert Member
- Nov 15, 2009
- 437
- 57
- Thread starter
- #41
mimi sijaelewa tatizo bado; kama yote anayokuambia tena hadharani, bila kuuma maneno na mbele ya mke wake akimaanisha kuwa ni kweli kwamba:
a. Kaka una miguu ya CCM
b. Macho ya chama
c. Umbo la kibalozi
d. Ngozi laini ya kifisadi fisadi
Mpe hizo sifa mbele ya mke wake halafu tuone mtaishia wapi, inawezekana ndio mtakuwa mnaheshimiana zaidi. DON'T take it too serious...
On the other hand.. itakuwaje kama hizo ni preview ya kukupigia mahesabu?
MMJ asante nimecheka sana, hapo kwenye macho naweza kusema ana macho ya uzinzi ...sijui ndio hayo ya chama?
Annina