happiness win
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 2,461
- 1,384
Najiheshmu sana ndo mana nataman kumweleza mkewe usumbufu wa mumewe,.sina ndoto za kua na mume wa mtu ktk maisha yangu
Hivi inawezekana mwanamume ambaye toka mwanzo umemuonyesha msimamo wako kuwa hutaki kuwa mpenzi wako akaendelea kukufata fata kila mahali hata nyumbani na ofisini kwako? Inawezekanaje akatamani hadi kutoa talaka lakini dini ikamzuia wakati huna mahusiano naye? Hadi umebadili laini ya simu mara tatu yeye bado akung'anganie tu bila kujali msimamo wako na bila ya kuwa na hofu ya wewe kumwambia mkewe na wanawe????? Mlifikiaje maongezi yake ya ndani na mkewe kuwa mkewe hataki kuzaa ila anataka wewe umzalie? hapo kuna kauhusiano kalikojificha. ACHA!