FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
The Following User Says Thank You to Da Sophy For This Useful Post:
hapa umehisi tu nadhani sio kama unavyodhani:sleepy:
The Following User Says Thank You to Da Sophy For This Useful Post:
Fanya jambo moja la busara...ebu iweke wazi hiyo namba ya huyo mume wa mtu kama kweli sms+calls zake zinakukera. Na usipoweka tutajua unampenda ila unatuzuga tu ....
hapa umehisi tu nadhani sio kama unavyodhani:sleepy:
Mwambie unaishi kwa matumaini atakata speed ya kukufukuzia.
We unafikiri akiiweka tutafanyaje? au unataka kila kitu utafuniwe? JS ameomba msaada kuwa kuna mtu anamsumbua kwaiyo sisi tunachofanya hapa ni kutoa ushauri au kutoa mapendekezo ya kumsaidia yeye...na sisi wengine tunaenda mbali zaidi kwa kutaka kumsaidia kwa vitendo ili jamaa aache kumsumbuasasa akishaiweka ndio inakuwaje?....mambo mengine jamani.
Kubadlishana namba na mtu haina kosa kwani by the time unampa mtu namba yako unakuwa unaestablish contact na huyo mtu. besides its a only a phone number ikiwa misused kama na huyu baba ambaye anataka kuchukulia advantage ndo inakuwa tatizo.
Ukishikwa shikamana shosty
kwni cku hizi mwanadamu anajali hilo...""nitatumia kinga"".....yani ilimradi tu mtu kadhamiria kuckia joto la humu ndani.
hata mama kyuu?:lol::lol::lol::lol:Hahahahahaha weweeeeeeeeee umenikumbusha mbali sana.
Yaani hamu za siku hizi sijui zikoje mtu akisha tamani hata ajuza atafanya juu chini amege.
Hahahahahaha weweeeeeeeeee umenikumbusha mbali sana.
Yaani hamu za siku hizi sijui zikoje mtu akisha tamani hata ajuza atafanya juu chini amege.[/QUOTE]
haaa eti ""hamu za cku hizi""..lol
Hatari hii! Basi hamu zijazo zaweza kutufanya tuanze kuzengea mpaka madogi LOLHahahahahaha weweeeeeeeeee umenikumbusha mbali sana.
Yaani hamu za siku hizi sijui zikoje mtu akisha tamani hata ajuza atafanya juu chini amege.
HEHEHE!Hatari hii! Basi hamu zijazo zaweza kutufanya tuanze kuzengea mpaka madogi LOL
kwni cku hizi mwanadamu anajali hilo...""nitatumia kinga"".....yani ilimradi tu mtu kadhamiria kuckia joto la humu ndani.
jamani wadau naombeni msaada kuna mume wa mtu kaniganda kweli kweli. Tulikutana mtaani kwenye starehe hizi tukawa tunapiga stori na mambo kama hayo mwishowe tukabadilishana namba za simu.
Sasa kila kukicha ni simu ni text messages. Ananitaka kimapenzi. Nishamuambia sina hisia kwake na kwamba nina mpenzi wangu tayari na there cant be anything between us. Haelewi kabisa kagoma kuelewa.
Nimfanyeje mtu wa aina hii na tamaa zake za mwili??
Jamani wadau naombeni msaada kuna mume wa mtu kaniganda kweli kweli. Tulikutana mtaani kwenye starehe hizi tukawa tunapiga stori na mambo kama hayo mwishowe tukabadilishana namba za simu.
Sasa kila kukicha ni simu ni text messages. ananitaka kimapenzi. nishamuambia sina hisia kwake na kwamba nina mpenzi wangu tayari na there cant be anything between us. haelewi kabisa kagoma kuelewa.
Nimfanyeje mtu wa aina hii na tamaa zake za mwili??