Mume wa jinsi hii........kama mke utavumilia kweli?

........Wana MMU mambo zenu!! Haya leo kuna hili, wewe mdada umeolewa na mwanaume ambaye anakujali. I mean anakupa huduma zote kama chakula, malazi na mavazi. Yaani chochote unachotaka kama ana uwezo nacho anakupa.

.......Ila sasa huyu mwanaume ana matatizo yake, nayo kama hivi:

  • Mvivu kukutana kimwili na mkewe, sio kwamba ana matatizo hapana. Yaani tendo la ndoa halipi kipaumbele sana.
  • Hapendi kutoka out, anaweza kumpeleka mkewe sehemu yoyote anayotaka kwenda, akifika huko yeye anabaki kwenye gari na kumuacha mkewe aende na watoto.
  • Wakialikwa sehemu, kama kwa marafiki kupata dinner au mkusanyiko wowote wa watu haendi, lazima atoe udhuru.
Hana maneno laini, kama mjuavyo wanawake tunapenda kusifiwa. Hata mkewe ajitahidi kufanya kitu kizuri kama kupika, kuvaa vizuri hajui hata kumsifia mkewe. Watu wa nje watamsifia mkewe lakini si mumewe.
Mkewe ameshamwambia muda mrefu kwamba hapendi hiyo tabia yake, na je watoto watajifunza nini kwa baba wa jinsi hii?

Huyu mdada ameniambia mengi kuhusu mumewe, ila mimi nimeshindwa kumwambia achukue uamuzi gani.......nimebaki tu nimezubaa kwa hizi tabia za mumewe.

Kuna mengi yakuandika kuhusu huyo mume wa mtu......sasa jamani mume wa hivi kweli anavumilika? Kama wewe mdada umeolewa na mume wa jinsi hii utafanyaje?

kuna haja ya kujua kabila lake..

Kama ni kabila hilo ninalodhani,avumilie tu... Hawarekebishiki...
 
Jamaa hana tatizo, hiyo ni haina ya personality (Haiba) ya MSONDANI (Introvert)
tena iliyolala kwenye extreme (-ve)! inabidi amzowee tu!
ila pia ni tabya ya Wadada/wamama kutaka waishi kama
marafiki/ndugu/majirani zao!
TTHERE IS NO YARDSTICK FOR THAT!
 
Ni kweli lizzy huyo dada inawezekana hamtoshelezi mumewe na si ajabu ukakuta ana nyumba ndogo ambayo inakatisha kiu yake!
Kama huyo baba hakua hivyo mwanzo kuna uwezekano huyo mwanamama ameshiriki sana kuwafikisha kwenye hali waliyofikia. Ila sasa kwasababu watu hua hawapendi kukubali au hata kuona kwamba wao ndio haswa chanzo cha matatizo basi lawama zote zinaelekezwa kwa mume.
Ukute kamfokea jamaa wa watu mpaka kapoteza kujiamini. . .au ndio zake kumsema sema vibaya kwa watu mpaka anashindwa kuungana nae wakitakiwa kuwa na watu wengine au sio mpenzi tu wa kufanya hivyo. . .sema kama hajawahi kuchukua muda kumsoma mwenzake hawezi jua hata hilo. Matokeo yake yeye anafanya kila kitu kiwe about HER and no one else. Huko chumbani nako ukute kuna kipindi alikua anamnyanyasa jamaa na "sijisikii/kichwa kinauma" nyingi mpaka akazoea alafu sasa hivi anatafuta mchawi kwingine. Pengine hajiweki kwenye mazingira tamanishi wala hasemi yeye anamhitaji jamaa.

Kwasababu mengi hayajulikani na ni dhahiri huyo mama yeye hajakwambia matatizo yake ni yapi sina lawama za kumshushia huyo baba. Mwambie huyo dada AJICHUNGUZE.
 
kuna haja ya kujua kabila lake..

Kama ni kabila hilo ninalodhani,avumilie tu... Hawarekebishiki...


............mhhhh kabila gani hilo hawarekebishiki? Hebu sema basi hilo kabila unalodhani kabla ya kukutajia.
 
........Wana MMU mambo zenu!! Haya leo kuna hili, wewe mdada umeolewa na mwanaume ambaye anakujali. I mean anakupa huduma zote kama chakula, malazi na mavazi. Yaani chochote unachotaka kama ana uwezo nacho anakupa.

.......Ila sasa huyu mwanaume ana matatizo yake, nayo kama hivi:

  • Mvivu kukutana kimwili na mkewe, sio kwamba ana matatizo hapana. Yaani tendo la ndoa halipi kipaumbele sana.
  • Hapendi kutoka out, anaweza kumpeleka mkewe sehemu yoyote anayotaka kwenda, akifika huko yeye anabaki kwenye gari na kumuacha mkewe aende na watoto.
  • Wakialikwa sehemu, kama kwa marafiki kupata dinner au mkusanyiko wowote wa watu haendi, lazima atoe udhuru.
Hana maneno laini, kama mjuavyo wanawake tunapenda kusifiwa. Hata mkewe ajitahidi kufanya kitu kizuri kama kupika, kuvaa vizuri hajui hata kumsifia mkewe. Watu wa nje watamsifia mkewe lakini si mumewe.
Mkewe ameshamwambia muda mrefu kwamba hapendi hiyo tabia yake, na je watoto watajifunza nini kwa baba wa jinsi hii?

Huyu mdada ameniambia mengi kuhusu mumewe, ila mimi nimeshindwa kumwambia achukue uamuzi gani.......nimebaki tu nimezubaa kwa hizi tabia za mumewe.

Kuna mengi yakuandika kuhusu huyo mume wa mtu......sasa jamani mume wa hivi kweli anavumilika? Kama wewe mdada umeolewa na mume wa jinsi hii utafanyaje?

Tatizo hapa ni kwamba unatuelezea ni tabia gani mume wa dada huyu alizo nazo bila kutuambia ni kwa sababu gani anazo hizo tabia, kwa hiyo kitu pekee tunachoweza kufanya sasa ni kufanya guesswork bila kuwa na maarifa ya kutosha ili uwezekano wa hii guesswork kuwa sahihi uwe kubwa. Utuambie basi: je, ni nani mume wake anajibu anapoulizwa ni kwa sababu gani anabaki garini au kwa sababu gani hataki kwenda mkusanyiko wowote? Ni udhuru gani hasa anaotoa?
Watu wengi wanali-focus tatizo la tendo la ndoa kutofanyika na kuona kama matatizo mengine hayana umuhimu wo wote, lakini matatizo madogo yote yatajwayo yanastahili kuchunguzwa kwa umakini maana inawezekana yote ni matokeo ya tatizo jingine kubwa. Methalan, naweza ku-conclude kwamba labda matatizo ya pili na ya tatu ni matokeo ya yeye kutotaka kuonekana hadharani na mke wake kwa sababu moja au nyingine, sababu inayoweza kuwa kwamba kuna kitu ambacho hapendi kuhusu mwonekano wake, kitu kinachompa aibu, lakini hataki kuwa wazi kwake kwa hofu ya kumdharau. Hata tendo la ndoa kutofanyika anavyotaka mke inge-support hiyo hypothesis ya kwamba tatizo inahusu (mvuto wa) mwonekano.
Sisemi hii ndio sababu lakini, ni mfano tu kuonyesha kwa nini nafikiri factors zote hupaswa kuzingatiwa, hata zile zionekanazo kutokuwa muhimu.

.......jamaa kabadilika baada ya kuoana, enzi za uchumba walikuwa wanatoka wote out. Inawezekana alikuwa anajitahidi kufanya hivyo ili ampate mwanamke.


Finally, in response to wanaodhani introversion ni sehemu ya personality yake basi ni bora mke avumilie maana haiwezi kubadilishwa, sikubali kwa sababu kama ingekuwa personality yake, nadhani asingalibadilika ghafla baada ya ndoa (isipokuwa amepatwa na maradhi fulani, trauma n.k.). Inawezekana katika pindi yote walimokuwa wana-date alikuwa anajifanya mtu ambaye si yeye ili kumpata mwanamke, lakini hiyo nayo ni improbable (isipokuwa hawaku-date kwa muda mrefu wa kutosha na kuoa bila kufahamiana vizuri vya kutosha as a result).
 
........Wana MMU mambo zenu!! Haya leo kuna hili, wewe mdada umeolewa na mwanaume ambaye anakujali. I mean anakupa huduma zote kama chakula, malazi na mavazi. Yaani chochote unachotaka kama ana uwezo nacho anakupa.

.......Ila sasa huyu mwanaume ana matatizo yake, nayo kama hivi:

  • Mvivu kukutana kimwili na mkewe, sio kwamba ana matatizo hapana. Yaani tendo la ndoa halipi kipaumbele sana.
  • Hapendi kutoka out, anaweza kumpeleka mkewe sehemu yoyote anayotaka kwenda, akifika huko yeye anabaki kwenye gari na kumuacha mkewe aende na watoto.
  • Wakialikwa sehemu, kama kwa marafiki kupata dinner au mkusanyiko wowote wa watu haendi, lazima atoe udhuru.
Hana maneno laini, kama mjuavyo wanawake tunapenda kusifiwa. Hata mkewe ajitahidi kufanya kitu kizuri kama kupika, kuvaa vizuri hajui hata kumsifia mkewe. Watu wa nje watamsifia mkewe lakini si mumewe.
Mkewe ameshamwambia muda mrefu kwamba hapendi hiyo tabia yake, na je watoto watajifunza nini kwa baba wa jinsi hii?

Huyu mdada ameniambia mengi kuhusu mumewe, ila mimi nimeshindwa kumwambia achukue uamuzi gani.......nimebaki tu nimezubaa kwa hizi tabia za mumewe.

Kuna mengi yakuandika kuhusu huyo mume wa mtu......sasa jamani mume wa hivi kweli anavumilika? Kama wewe mdada umeolewa na mume wa jinsi hii utafanyaje?

Hapo nilipokuwekea nyekundu, ndio matatizo ya wanawake wengi ambao wanashindwa kujituma.

Msiwalee watoto zenu wa kike wakawa tegemezi kwa wanaume. Kama huyo mwanamke kabweteka na kutegemea kila kitu kwa mwanamme ndiyo inabidi aishi nae.

Isitoshe, hayo mengine yote sio muhimu, wengine raha zao wakiona wake zao wanasifiwa na watu wengine.

Kuhusu sexuality ya mwanamme ni mwanamke ambae ana majukumu ya kujuwa mbinu za kumfanya mumewe awe anatamani, kama hajui mbinu anaweza kumkosa. Kuna mambo ambayo anaweza kuwa anayafanya huyo mwanamke yanayomnyima raha mumewe na huyo mwanamke hajui au hataki kubadilika.

Kuanzia namna ya kuongea, kuvaa, manukato unayotumia, namna unavyojipamba, namna unavyomhudumia mumeo, namna unavyo "demand" kutoka, sehemu unazopenda wewe kwenda yeye hazipendi.

Aanze kubadilika yeye kabla hajaanza kujaribu kumbadilisha mumewe. Ni rahisi sana kujibadilisha kuliko kumbadili mtu mwingine.
 
........Wana MMU mambo zenu!! Haya leo kuna hili, wewe mdada umeolewa na mwanaume ambaye anakujali. I mean anakupa huduma zote kama chakula, malazi na mavazi. Yaani chochote unachotaka kama ana uwezo nacho anakupa.

.......Ila sasa huyu mwanaume ana matatizo yake, nayo kama hivi:

  • Mvivu kukutana kimwili na mkewe, sio kwamba ana matatizo hapana. Yaani tendo la ndoa halipi kipaumbele sana.
  • Hapendi kutoka out, anaweza kumpeleka mkewe sehemu yoyote anayotaka kwenda, akifika huko yeye anabaki kwenye gari na kumuacha mkewe aende na watoto.
  • Wakialikwa sehemu, kama kwa marafiki kupata dinner au mkusanyiko wowote wa watu haendi, lazima atoe udhuru.
Hana maneno laini, kama mjuavyo wanawake tunapenda kusifiwa. Hata mkewe ajitahidi kufanya kitu kizuri kama kupika, kuvaa vizuri hajui hata kumsifia mkewe. Watu wa nje watamsifia mkewe lakini si mumewe.
Mkewe ameshamwambia muda mrefu kwamba hapendi hiyo tabia yake, na je watoto watajifunza nini kwa baba wa jinsi hii?

Huyu mdada ameniambia mengi kuhusu mumewe, ila mimi nimeshindwa kumwambia achukue uamuzi gani.......nimebaki tu nimezubaa kwa hizi tabia za mumewe.

Kuna mengi yakuandika kuhusu huyo mume wa mtu......sasa jamani mume wa hivi kweli anavumilika? Kama wewe mdada umeolewa na mume wa jinsi hii utafanyaje?
Sasa wewe ukipata mwanaume ambaye anavyote hivyo ambavyo huyo hana,alafu hana hata kimoja ambacho huyo anacho utamvumilia?yaani mwanaume ambaye hajali matatizo yako,ukivaa ukipendeza anakusifu tuu japo hajachangia hata gharama ya kifungo cha hilo vazi lako,mwanaume ambaye kila dakika network inasoma yaani hata ukiwa jikoni anataka mambo,ukikohoa anataka mambo,kwenye sherehe yeyote ile hata iwe kitchen party anataka kwenda na wewe,huyo unamuonaje atakufaa???

 
........Wana MMU mambo zenu!! Haya leo kuna hili, wewe mdada umeolewa na mwanaume ambaye anakujali. I mean anakupa huduma zote kama chakula, malazi na mavazi. Yaani chochote unachotaka kama ana uwezo nacho anakupa.

.......Ila sasa huyu mwanaume ana matatizo yake, nayo kama hivi:

  • Mvivu kukutana kimwili na mkewe, sio kwamba ana matatizo hapana. Yaani tendo la ndoa halipi kipaumbele sana.
  • Hapendi kutoka out, anaweza kumpeleka mkewe sehemu yoyote anayotaka kwenda, akifika huko yeye anabaki kwenye gari na kumuacha mkewe aende na watoto.
  • Wakialikwa sehemu, kama kwa marafiki kupata dinner au mkusanyiko wowote wa watu haendi, lazima atoe udhuru.
Hana maneno laini, kama mjuavyo wanawake tunapenda kusifiwa. Hata mkewe ajitahidi kufanya kitu kizuri kama kupika, kuvaa vizuri hajui hata kumsifia mkewe. Watu wa nje watamsifia mkewe lakini si mumewe.
Mkewe ameshamwambia muda mrefu kwamba hapendi hiyo tabia yake, na je watoto watajifunza nini kwa baba wa jinsi hii?

Huyu mdada ameniambia mengi kuhusu mumewe, ila mimi nimeshindwa kumwambia achukue uamuzi gani.......nimebaki tu nimezubaa kwa hizi tabia za mumewe.

Kuna mengi yakuandika kuhusu huyo mume wa mtu......sasa jamani mume wa hivi kweli anavumilika? Kama wewe mdada umeolewa na mume wa jinsi hii utafanyaje?

Huyo dada anataka mapenzi ya kichuochuo? What is out na dinner? Yuko tayari kwenye ndoa, atulie na kulea watoto.
 
Back
Top Bottom