tendo la ndoa ni muhimu na kama kuna tatizo inabidi wasaidiane kutafuta solution (jamaa anaweza kuwa bize sana au nature ya kazi ni so demanding; mazoea yametawala na hakuna tena hamasa kwenye tendo; mama hana initiative anasubiri 'kuombwa' tu kila siku; mazingira na nafasi ya nyumbani etc); mengine yaliyobaki siyo big deal, mama ajitahidi kumsomesha jamaa taratibu, akielewa well and good but ikishindikana asimshinikize coz kimsingi watu tumeumbwa tofauti na haiwezekani wote tu-behave the same way
hii inakera MNO!namna hii naweza 'NISIOMBE' hata MIEZI MITATU au hata nikiomba ujue iatakuwa KWAAJILI YANGU TU!(ila ubinafsi kwenye eneo hili pia sio tabia yangu,so mtu(mjue tunatofautian sana) wa namna hii mke wa hivyo atamtesa sana!!