miss linga
Member
- Apr 4, 2012
- 17
- 1
Habari ya kazi wa JF?mimi ni mwanamke wa miaka 28 nimeolewa na nina watoto wawili wa kike wa kwanza ana miaka 6 na anaemfuta ana miaka 4,juzi nimegundua mume angu kazaa mtoto mwingine na mwanamke mwingine mtoto ni mdogo kuliko wangu,nimechanganyikiwa jamani sijui ata la kufanya,ni bora ata huyo mtoto ningemkuta,nimechoka kuanzia akili mpaka mwili nyumba naiona chungu,naombeni ushauri wenu jamani nifanyeje mwenzenu