salam wana jf.mimi ni mwana mama mume wangu hataki nifanye kazi anataka nitunze familia iyo nimekubaliana nalo.lakini mume huyu huyu hana upendo kabisa yeye kurudi ni manane ya usiku na vituko tele .mkitoka nae out jamani usikutane na mtu akakusalimia mume ananuna ukikaa bar na washikaji zake wakikutazama sana ujue nyumbani utachezea kichapo.mpaka nimeamua sitoki nakaa ndani tu kulea watoto.ila mahitaji yote napata nisichopenda unoko wake tu.na nikimuuliza mume wangu mbona haupendi kurudi mapema ananijibu wewe ndio unatafuta pesa.sasa yoote 9 ni hivi tokea nijue jf ni raha tupu hata akikaa mpaka saa kumi usiku sijari wapendwa tena nasema kwa nini karudi mapema.