The last don
JF-Expert Member
- Aug 3, 2011
- 966
- 970
Mbona hiyo makitu ni nguo tu kama nguo nyingine BADILI TABIA,kama unafua shati,suluari singlendi,bukta unachoshwa ni hiyo mini bukta?...au ndio ile dizaini ya kuanika pichu chumbani eti unaogopa kuanika kwenye jua nje...kisa cha kutafuta fungasi nini wakati tunanunua zikiwa zimetundikwa njee kweupeee na wamachinga wanatembeza mikononi,Nothing special with underwear bana khaa.
Last edited by a moderator: