Mume kufuliwa nguo za ndani na mkewe

Mi nafua lakini sijawahi hata kujiuliza hayo maswali kama ni "lazima, hiari au wajibu"

Ila naona raha sana kufua boxer za hubby...na yeye naona anaona raha kuona always boxers ni safi yeye anachagua tu avae ipi.

Suala la kusafiri na kuchanganya kuwa mfuaji hayupo...nadhani linaongeza sababu za yeye kuni miss. Lol. Maana hajazoea ati kufua mwenyewe na inabidi afue sasa. Utasikia 'naona shida sana kuwa mbali na wewe' kumbe ni mchanganyiko wa mengi kuanzia mambo ya 6X6 na 'other services'

Ndo maana watu kama wewe [MENTION]nyumba kubwa [/MENTION]mnapokuwa hampo jamvini tunapata shida kuwaelewesha wajukuu jinsi tunavyoishi na bibi zao....

Uwepo wako umeonesha kuwa kwenye wewe ni big house na small houses hawana chao..lol!!

Babu DC!!
 
Ina maana mume akijifulia au akinifulia na mimi anakua amekiuka????

sasa hapo yanakuwa ni makubaliano yenu au inategemeana na mtindo wa maisha mnayoishi na mumeo, akifua nguo zake au nguo zako hajakiuka ila ndio kama nilivyosema inategemeana na mtindo wa maisha mnayoish na mwenzi wako.
 
Najiuliza na nimeona niulize na wengine hasa wenye ndoa.
Mke kufua nguo za ndani za mumewe ni hiari,lazima au makubaliano?
Hiyari: namaanisha mke anaweza kufua atakapojisikia kumfulia au anaweza akaamua siku hiyo asifue akaacha mume afue mwenyewe.
Lazima: kwamba hata iweje mume HATAFUA nguo yake hata kama mkewe kasafiri akirudi atazikuta, zikiisha mume atanunua zingine lakini kamwe hatafua lazima afue mke.
Makubaliano: Mume anaweza kuamua kua atakua anajifulia mwenyewe au wakakubaliana kua yeyote anaweza kufua nguo za ndani za wote wawili.
Naomba mnisaidia hapa....
Kwa uzoefu na utashi wako
HASA WANAUME (sijabagua wanawake)

Hivi jamani kuna watu wanatabia ya kurundika hizi nguo?

Mi nafuaga mwenyewe kila jioni ninapooga, hata nikioga naye pia nafua tu naonaga okwadi kuvua halafu nampasia afue wakati tunaoga pamoja.

Ila kuna wakati ananirushia yake 'kimapenzi' namfulia na mimi kuna wakati namrushia yangu 'kishkaji' ananifulia. so ni kama hatuna kanuni. Kuna wakati aliumia kidole nikawa namfulia, nami pia nilijikataga akawa ananifulia. Ila cha ajabu hakuna aliemuomba mwingine kufanya hivyo. Yeye alipoumia akawa sasa anazirudika kwenye kijindoo (cha maji na omo) chumbani, so ikabidi mzee nijitume mwenyewe. Mi pia nilipoumia nikazirudika the same, naye aka-reciprocate, so maisha yanasonga!
 
  • Thanks
Reactions: SMU
mie kama nipo kijijini basi tunapena zamu alafu unajua mie napenda ile smell ya kufuli ya demu so nashangaa watu wanaona tabu kufua kwa nini?


Nani kakueleza wanaume hawapendi kuzifua?? Hata hivyo sina hakika kama una uzoefu na hawa wadau zetu...

Labda kama mdau wako wanazipack hadi zijae kwenye kikapu...wengina wanamalizana nazo huko huko bafuni.

Babu DC!!
 
sasa hapo yanakuwa ni makubaliano yenu au inategemeana na mtindo wa maisha mnayoishi na mumeo, akifua nguo zake au nguo zako hajakiuka ila ndio kama nilivyosema inategemeana na mtindo wa maisha mnayoish na mwenzi wako.


Pia na mahali wanapoishi....Huku site (kijiweni au uswahilini), mwanamume hafui nguo ya aina yoyote labda kama mke wake anakaribia kukata roho na hakuna mwanamke mwingine karibu naye!!

Babu DC!!
 
Najiuliza na nimeona niulize na wengine hasa wenye ndoa.
Mke kufua nguo za ndani za mumewe ni hiari,lazima au makubaliano?
Hiyari: namaanisha mke anaweza kufua atakapojisikia kumfulia au anaweza akaamua siku hiyo asifue akaacha mume afue mwenyewe.
Lazima: kwamba hata iweje mume HATAFUA nguo yake hata kama mkewe kasafiri akirudi atazikuta, zikiisha mume atanunua zingine lakini kamwe hatafua lazima afue mke.
Makubaliano: Mume anaweza kuamua kua atakua anajifulia mwenyewe au wakakubaliana kua yeyote anaweza kufua nguo za ndani za wote wawili.
Naomba mnisaidia hapa....
Kwa uzoefu na utashi wako
HASA WANAUME (sijabagua wanawake)

Mapenzi
 
Mi nafua lakini sijawahi hata kujiuliza hayo maswali kama ni "lazima, hiari au wajibu"

Ila naona raha sana kufua boxer za hubby...na yeye naona anaona raha kuona always boxers ni safi yeye anachagua tu avae ipi.

Suala la kusafiri na kuchanganya kuwa mfuaji hayupo...nadhani linaongeza sababu za yeye kuni miss. Lol. Maana hajazoea ati kufua mwenyewe na inabidi afue sasa. Utasikia 'naona shida sana kuwa mbali na wewe' kumbe ni mchanganyiko wa mengi kuanzia mambo ya 6X6 na 'other services'

Hapo kweli utakua unatoa sababu za kuendelea kupendwa...
 
Kuna kazi ambazo naturally mwanaume anaona uvivu kuzifanya, na mwanamke pia ana zinazomtia uvivu. Kama baba wa watu anashinda gereji na tuktuk yako akiifanyia service, why wewe usimfulie?

Kama kuna mapenzi na maelewano, kufua naturally atafua mwanamke. Japo kuna rafiki yangu anasema mkewe ni mvivu sana wa kufua, yeye ndo anafua nguo zake na za mkewe, za ndani na za nje.

Ila mwanaume kunifulia vyupi vyangu hata akitaka itakuwa ngumu manake vina masharti kama ya waganga! Unakuta kitu cheupeee! Afu analoweka na liboxer lake la gray ama black!

Mpenzi, mfulie tu! Lakini usiifanye kuwa sheria. Akiona imelega kidogo akubembeleze sio agombe why vyupi havijafuliwa. Na siku moja moja unadeka afue na yako ili ajikumbushe unavyomjali,lol! Kwenye mapenzi kila mtu anajitahidi kumpa mwenzie ka-addiction flani. (Usije kuuliza about kutandika kitanda sasa eh? Wakioa mikono huwa inakatika)
 
mbona kumfulia inakuna nachoro tu, hata sioni analazimishia wapi.

Ni kama usafi mwingine wa ndani tu, mbona humwambii, leo zamu yako kusafisha chumba au kutandika?
 
Inategemea mnavyoishi, kuna wanandoa wengine wanaishi kama paka na panya lol! Ila ukimfulia au mkifuliana inanoga zaidi ndo mahaba yenyewe hayo..
 
Najiuliza na nimeona niulize na wengine hasa wenye ndoa.
Mke kufua nguo za ndani za mumewe ni hiari,lazima au makubaliano?
Hiyari: namaanisha mke anaweza kufua atakapojisikia kumfulia au anaweza akaamua siku hiyo asifue akaacha mume afue mwenyewe.
Lazima: kwamba hata iweje mume HATAFUA nguo yake hata kama mkewe kasafiri akirudi atazikuta, zikiisha mume atanunua zingine lakini kamwe hatafua lazima afue mke.
Makubaliano: Mume anaweza kuamua kua atakua anajifulia mwenyewe au wakakubaliana kua yeyote anaweza kufua nguo za ndani za wote wawili.
Naomba mnisaidia hapa....
Kwa uzoefu na utashi wako
HASA WANAUME (sijabagua wanawake)

Si hiyari wala si lazima ... Ni mapenzi tu...
 
Back
Top Bottom