Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
Asallam aleikum wanajf. Jamani kuna shemeji yng alimpa msichana mimba na kumkatisha masomo na kuamua kuish naye tn bila kuwajulisha wazazi na ndugu zk. Wazaz wa mume walipogundgua wakamshaur kijana wao akajitambulishe na kulipa mahari kwa mke na wafunge ndoa. Mume akakataa kulipa mahar na kufunga ndoa akajitambulisha tu tn alienda yy na mke tu. Mimba ilipofika miez 6 mume akawa akiondoka kwenda kazini haagi wl haachi hela ya chakula mke akawa anaish kwa huruma ya majirani. Muda wa kujifungua ukafika mke akajifungua mtoto wa kike. mtoto alipofikisha mwaka 1 mume akaanza kulala nje hata wiki nzima mke kuchunguza akagundua mumewe anamwanke amempangishia chumba alipomuuliza mumewe akamwambia ni kweli na mwanamke huyo ni mjamzito, mke akamwomba wafunge ndoa sbb tayari alishakatisha masomo kwa ajil yake na amezaa naye, mumewe akasema yy ndo atakayeamua afunge ndoa na yupi.hy Mwanamke mwngn kajifungua mume kahamia hk hn habar na mke wa1 wala mtoto anafanya ku2ma m2 apeleke hela. MKE HY ALIYETELEKWEZWA AFANYAJE?