Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
Ajitume watu wanaweka lovebite hadi makalioni, kuna watu wabaya jamani, hasa akijua ni mke wa mtu ndio atafanya mavurugu yote hayo lol
Acha Kabisa Yaani umenikumbusha kisa cha Jamaa aliyetonywa kwamba Mke wake anamegwa Gesti fulani na yeye hakuamini Ikabidi Mzee Afunge safari Mpaka kwenye hiyo Gesti. Ile kufika Akaanza kuchungulia akakuta jamaa anamkunja Mke wake ile Mbaya! Jamaa uvumilivu ukamshinda ikabidi apige kelele " Unamuumiza bwana Mke wangu na Nyuzi Sita Tumboni". Jamani wanaume mnapokuwa na wake zenu Msipige Kiaskofu Ohooooo