Mume huyu anapenda kazi kuliko mimi

Laaziz

Member
Sep 26, 2012
37
7
ni rafiki yangu jana kanilalamikia nimshauri eti mumewe yupo bize na kazi yaani akitoka asubuhi kurudi usiku na weekend pia anaenda kushinda ofisini ili amalizie kazi zake akirudi yupo hoi hata chakula cha usiku kinamshinda, amejaribu kumfuatilia nikweli muda mwingi anakua ofisini akifanya shughuli zake, amejaribu kumweleza hafurahii hali hiyo lakini mumewe hataki kujirekebisha sasa afanyeje maana haoni raha ya ndoa na huku bado anampenda. nisaidieni mawazo wanajamii. ni ukweli kabisa si porojo wala nini!
 
The husband needs to learn how to balance between his work life and home life.

He needs to understand that life is not all about work or money.

Perhaps some form of counseling would help.

In order for that to be helpful he'll have to open up his mind for it to even have a prayer.

So him being open minded is of critical importance.

Otherwise his marriage could be doomed.
 
mshauri mumewe afanye mazoezi na ale vizuri, atakua anaulizia hiyo naniliu hadi itakua kero..
kimsingi hamna ubaya kwa mtu kupenda kazi, nyie wanawake mnapenda pesa na maisha mazuri, mnadhani hivo vinatokea wapi?
 
Kuna christmas moja nilimpigia mdada simu asubuhi, akaniambia mumewe yuko kazini! Sio askari wala daktari wala watchman! Ana 3 little kids! Imagine papaa not home on christmas day, na ni wakristo!
Kuna mabalaa mengine mtu hujitafutia!
 
ni rafiki yangu jana kanilalamikia nimshauri eti mumewe yupo bize na kazi yaani akitoka asubuhi kurudi usiku na weekend pia anaenda kushinda ofisini ili amalizie kazi zake akirudi yupo hoi hata chakula cha usiku kinamshinda, amejaribu kumfuatilia nikweli muda mwingi anakua ofisini akifanya shughuli zake, amejaribu kumweleza hafurahii hali hiyo lakini mumewe hataki kujirekebisha sasa afanyeje maana haoni raha ya ndoa na huku bado anampenda. nisaidieni mawazo wanajamii. ni ukweli kabisa si porojo wala nini!

wewe sio mama watoto wangu? Kama ni hivyo kwa nini usiniambie, tuzungumze umeamua kuja kufuata ushauri huku angalia usije pata kidumu.
 
Kuna christmas moja nilimpigia mdada simu asubuhi, akaniambia mumewe yuko kazini! Sio askari wala daktari wala watchman! Ana 3 little kids! Imagine papaa not home on christmas day, na ni wakristo!
Kuna mabalaa mengine mtu hujitafutia!

Wakati mwingine hali ya uchumi inalazimisha mtu kukaa ofisini/mahali unapopatia rizki muda mrefu. Nakumbuka kile kipindi cha Mwinyi,sikukuu zilipokuwa zinafidiwa,mimi nilikuwa nalipwa kwa siku, kisia mwenyewe hali ilikuwaje hizo siku za fidia.

Inawezekana kelele za nyumbani zikamfanya mtu kukaa ofisini masaa mengi, ili ndege arudi tunduni mapema ni lazima kuwe na mazingira mazuri pia.
 
ni rafiki yangu jana kanilalamikia nimshauri eti mumewe yupo bize na kazi yaani akitoka asubuhi kurudi usiku na weekend pia anaenda kushinda ofisini ili amalizie kazi zake akirudi yupo hoi hata chakula cha usiku kinamshinda, amejaribu kumfuatilia nikweli muda mwingi anakua ofisini akifanya shughuli zake, amejaribu kumweleza hafurahii hali hiyo lakini mumewe hataki kujirekebisha sasa afanyeje maana haoni raha ya ndoa na huku bado anampenda. nisaidieni mawazo wanajamii. ni ukweli kabisa si porojo wala nini!

Sio kila ambaye hana furaha nyumbani hu'cheat'...kuna wengine sio ma'cheater' hivyo wanachannel hiyo energy kwenye mambo mengine mfano 'kazi'. Rafikiyo achunguze kama mumewe ana furaha kwenye ndoa yao, au ana furahia kuwa nyumbani..na yeye amechangia vipi hiyo hali sio kumsukumia mwenzie lawama zote!
 
King'asti, Abdulhalim. ushauri mzuri mmetoa nitafikisha ujumbe ipasavyo ili aweze kukabiliana na tatizo! BORNCV ndio wewe mlengwa nini? afadhali umejitambua jirekebishe basi hujaoa kazi bwana.
 
ni rafiki yangu jana kanilalamikia nimshauri eti mumewe yupo bize na kazi yaani akitoka asubuhi kurudi usiku na weekend pia anaenda kushinda ofisini ili amalizie kazi zake akirudi yupo hoi hata chakula cha usiku kinamshinda, amejaribu kumfuatilia nikweli muda mwingi anakua ofisini akifanya shughuli zake, amejaribu kumweleza hafurahii hali hiyo lakini mumewe hataki kujirekebisha sasa afanyeje maana haoni raha ya ndoa na huku bado anampenda. nisaidieni mawazo wanajamii. ni ukweli kabisa si porojo wala nini!
Mimi naona watu wengine wanajifanya wako busy tuu. Kazi haziishi na ofisi haikutegemei wewe mwenyewe tuu. Hawa watu wakistaafu wanapata shida sana, wengine wanaishia hata kupata magonjwa ya moyo. Ni muhimu sana kupata mda wa kuwa na familia yako. Hivi watoto wakiharibika utamlaumu nani???Hayo sio malezi na hapo hakuna familia bora..
 
Kuna christmas moja nilimpigia mdada simu asubuhi, akaniambia mumewe yuko kazini! Sio askari wala daktari wala watchman! Ana 3 little kids! Imagine papaa not home on christmas day, na ni wakristo!
Kuna mabalaa mengine mtu hujitafutia!

Najua unanisema mimi...............
Wewe endelea tu kutoa siri za nyumbani.....
 
ni rafiki yangu jana kanilalamikia nimshauri eti mumewe yupo bize na kazi yaani akitoka asubuhi kurudi usiku na weekend pia anaenda kushinda ofisini ili amalizie kazi zake akirudi yupo hoi hata chakula cha usiku kinamshinda, amejaribu kumfuatilia nikweli muda mwingi anakua ofisini akifanya shughuli zake, amejaribu kumweleza hafurahii hali hiyo lakini mumewe hataki kujirekebisha sasa afanyeje maana haoni raha ya ndoa na huku bado anampenda. nisaidieni mawazo wanajamii. ni ukweli kabisa si porojo wala nini!

Ninyi wanawake ni wav wa ajabu sana, nyie si hamtaki kuwa involved kwenye mambo ya kusaidiana ktk familia,mishahara yenu ni ya kwenu,ila wa mume wa wote,poa acha jamaa apige job ili muhudumiwe na mpate mahitaji yote,labda ungemsaidia kwenye baadhi ya mambo isingekuwa hivyo
 
kwa nini watunzi wa hizi thread husema, "rafiki/jamaa/ndugu yangu ana tatizo........." ni ukweli au wanaona aibu kusema kwamba ni wao wanaohitaji ushauri?
 
ni rafiki yangu jana kanilalamikia nimshauri eti mumewe yupo bize na kazi yaani akitoka asubuhi kurudi usiku na weekend pia anaenda kushinda ofisini ili amalizie kazi zake akirudi yupo hoi hata chakula cha usiku kinamshinda, amejaribu kumfuatilia nikweli muda mwingi anakua ofisini akifanya shughuli zake, amejaribu kumweleza hafurahii hali hiyo lakini mumewe hataki kujirekebisha sasa afanyeje maana haoni raha ya ndoa na huku bado anampenda. nisaidieni mawazo wanajamii. ni ukweli kabisa si porojo wala nini!

Japokuwa mumewe huwa anarudi amechoka, wa kuanzisha game ya chakula cha usiku ni mwanamke, hasikae kusubiri mumewe ndio aanzishe.
Tena siku zengine awe anamwambia kabisa, baba fulani leo naomba urudi mapema nahitaji kula chakula cha usiku.
Ikienda hivyo na jinsi anavyomueleza anavyohumia yeye kuwa bize sana na kazi mambo yatabadilika.
 
kwa nini watunzi wa hizi thread husema, "rafiki/jamaa/ndugu yangu ana tatizo........." ni ukweli au wanaona aibu kusema kwamba ni wao wanaohitaji ushauri?

mkuu sio wote, huenda mtoa mada hata hajaolewa. mf. kuna uzi nimeanzisha. kiukweli mhusika sio mimi cos mie sijaolewa. ni issue ya rafiki yangu ndio alinieleza nikamwambia tupange muda tuzungumze. nami nikaja humu kuomba maoni ya wenzangu!
 
Ninyi wanawake ni wav wa ajabu sana, nyie si hamtaki kuwa involved kwenye mambo ya kusaidiana ktk familia,mishahara yenu ni ya kwenu,ila wa mume wa wote,poa acha jamaa apige job ili muhudumiwe na mpate mahitaji yote,labda ungemsaidia kwenye baadhi ya mambo isingekuwa hivyo

Nashindwa kushangaa na miye aiseee kuhusu hawa ndugu zetu!!
Upande mwingine wanataka uwahudumie kila kitu..sasa bila kufanya kazi hela zinatoka wapi?
Mwambie huyo shogaako mradi anakula na kuvaa avumilie tu..mwambie mumewe anamtafutia maisha..si unajua maisha yalivyo magumu!...ngono sio muhimu kama ugali na samaki!!
 
Ninyi wanawake ni wav wa ajabu sana, nyie si hamtaki kuwa involved kwenye mambo ya kusaidiana ktk familia,mishahara yenu ni ya kwenu,ila wa mume wa wote,poa acha jamaa apige job ili muhudumiwe na mpate mahitaji yote,labda ungemsaidia kwenye baadhi ya mambo isingekuwa hivyo

khe yamekuwa hayo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom