mume hatoi unyumba

pal, huyu ashadii nampenda lakini anakua very explicit, hebu atueleze mwanamkw goli gapi kwa wiki (akikojoa yeye ndio zinamtosha?)

ukirudi uje chadibwa, tuna bendi siku hizi jana na juzi nilikua hape ni raha tupu

....for real kaka, for real...ila ile foleni ya kurudia mjini via pantoon, au kuzungukia mbagala imekaaje?
nitatia team hapo kwa mkulu wa kituo,..hahah..

AshaDii,...nasubiria kusoma jibu, kamanda keshaabandika swali hapo.
 
...duuhhh, aisee...namimi nimo kwenye kundi hilo ila sikujua kama tafsiri yake nipo "sooo weak"...lol!
mawazo yangu 'nimekinai' tu...


Wanaume wasio na nguvu ndio wanaoongoza kwa kujisifia game wawapo kijiweni.... This makes me Grade you in an "A List" in the game.....lol....

Naomba tu wasiohusika wasisome hapa... Nisije pata mzungu wa nne leo.... Nitakufa!.... hahahha.....
 
....for real kaka, for real...ila ile foleni ya kurudia mjini via pantoon, au kuzungukia mbagala imekaaje?
nitatia team hapo kwa mkulu wa kituo,..hahah..

AshaDii,...nasubiria kusoma jibu, kamanda keshaabandika swali hapo.
nina fomyula, nimejiunga na timu ya mazoezi ya jeshi... napitia kule nyuma wananipa saluti aisee, na panki nimenyoa mkuu

we njoo utaniamkia
 
Wanaume wasio na nguvu ndio wanaoongoza kwa kujisifia game wawapo kijiweni.... This makes me Grade you in an "A List" in the game.....lol....

Naomba tu wasiohusika wasisome hapa... Nisije pata mzungu wa nne leo.... Nitakufa!.... hahahha.....
uko very right aise

tena mimi yani kwa wiki goli hamsini, yani zikizidi huwa nakamua kama ngome wa maziwa na kuweka kwenye chupa..... aisee

yani hata suruali ikinigusa tu, bao!!!
 
Aisee kuna haja nikupeke shule ya prokyuament, unasahau kwamba pipeline ikiwa full there is nothing you can do, you dont need to buy

kuhusu ukameruni, wala sina shaka, huyo jamaa ni viktimu wa mengi... waweza kuta kuna gogo, na maafa mengine mengi tu
heheeh acha nirest my case tu mpaka pale nitakapopewa definition ya mume/ mwanaume. Kama kuna uwezekano kwamba huyu jamaa anajipoza nje basi huyu atakuwa the worst cheater of this modern time. Napenda sana nimpe cheo cha "cheater" lakini haqualify kabisa yaani.

- Miezi mitano?
-Stupid excuses?
-Good communication/ haoneshi kwamba anatoa adhabu kwa kosa fulani alilotendewa?
- Hiding uanaume wake kwa mke wake?

Its complicated
 
...Naam, naaam....si unawajua kwa ku exaggerate mambo hawa...almuradi kuongezea chumvi wapate sympathisers..



...hapana kamanda. zipo namba tatu, nne, tano na sita...ikiwemo ile ya kila baada ya tendo
sumthing nasty comes up...mfano, "kuchunwa!"...kiasi kwamba wajiona sex inatumika kama bakora
ya kujichapia mwenyewe...

Hahaha Mbu yep acha tukubaliane kwa hilo. Maswali yangu ni mawili tu.
1) Mwanaume gani dunia hii anaweza kumpa mgongo mwanamke anaelala nae kitanda kimoja miezi 5?
2) Ujumbe gani unaupeleka kwa kumnyima mwanamke unyumba for that long?
 
heheeh acha nirest my case tu mpaka pale nitakapopewa definition ya mume/ mwanaume. Kama kuna uwezekano kwamba huyu jamaa anajipoza nje basi huyu atakuwa the worst cheater of this modern time. Napenda sana nimpe cheo cha "cheater" lakini haqualify kabisa yaani.

- Miezi mitano?
-Stupid excuses?
-Good communication/ haoneshi kwamba anatoa adhabu kwa kosa fulani alilotendewa?
- Hiding uanaume wake kwa mke wake?

Its complicated

tablet

si nilishasema ni wiki sema mama kwa genye anaona kama eternity aisee!!! ushawahi kusubiri demu kwa one hour??? its like twelve year mkuu

lakini na huyo bibi ana issue, hivi kuna mwanaume duniani anaweza kushikwa hiyo nduruu na mkono wa mwanamke ikalala kweli??? au huyo mama hajui role yake???

Mimi namtupia lawama huyo mama..... yeye wakati wa kulala aishike tu hiyo kidodoma ya baba uone kama jamaa hajalala chali kama chura kafa maji:A S 13:
 
Kloro.... That much I know.... Katika ndoa mapenzi moto moto hayawezi kua constant... there comes a time mwazoeana na hata kuchokana (haina maana hampendani.... NO!) Ila tu ile kua there is NO EXCITEMENT! Mara nyingi hii hali kuweza isha nguvu ipo saana kwa akina mama ili kuweza rudisha vibe.... Waanza kufikiria mautundu gani na kukumbuka hasa nini kinachompagawisha your Man before he has touched you.... then wafanyia kazi na vibe ya rudi... na pia yaweza potea tena. Inapokua sasa my Man from nowhere he is so into me and making love to me kila mara.... Then I know deep inside me kua there is a woman.... Anaweza akawa kalala nae.... Ama anatamani kulala nae to the extent ile lust anakuja ihamishia kwangu.... Nini nitafanya? That is another story kikubwa sitalaza damu wakati wa tukio.....

Hivo to God I know kua Cheating sio sababu ya kupungua kwa tendo ndani....
You are the best Kungwi in JF history lol acha nikuletee haka kasmol hauz kangu ukafunde. Hii post yako naikubali yote Ashadii na ina ujumbe mzito sana. Unajua hii kesi mimi siwezi kutoa conclusion lakini kama ilivyoelezewa ni kweli basi there is something damn serious wrong somewhere. Linapokuja suala la sex kwangu mimi sisi wanaume ni viumbe dhaifu na wahitaji sana. 5 months without clear message hii mimi inanipa headache sana.
 
tablet

si nilishasema ni wiki sema mama kwa genye anaona kama eternity aisee!!! ushawahi kusubiri demu kwa one hour??? its like twelve year mkuu

lakini na huyo bibi ana issue, hivi kuna mwanaume duniani anaweza kushikwa hiyo nduruu na mkono wa mwanamke ikalala kweli??? au huyo mama hajui role yake???

Mimi namtupia lawama huyo mama..... yeye wakati wa kulala aishike tu hiyo kidodoma ya baba uone kama jamaa hajalala chali kama chura kafa maji
:A S 13:
Hahaha now u r talking. Hapo tuko pamoja kamanda. Hawa wadada (baadhi) samtaimu wanataka mpaka wabonyezwe kwa remote control ndio warembue at least macho. Wanaringa mpaka vyumbani, wanauchuna utafkiri napata sawabu peke yangu vile.
 
Hahaha now u r talking. Hapo tuko pamoja kamanda. Hawa wadada (baadhi) samtaimu wanataka mpaka wabonyezwe kwa remote control ndio warembue at least macho. Wanaringa mpaka vyumbani, wanauchuna utafkiri napata sawabu peke yangu vile.

well said,

mimi akigusa tu huyo abdala, ni dhahma aisee............ sijui kama kuna kidodoma chochote chenye functional qualities kitalala kikiguswa na mikono laini aisee
 
well said,

mimi akigusa tu huyo abdala, ni dhahma aisee............ sijui kama kuna kidodoma chochote chenye functional qualities kitalala kikiguswa na mikono laini aisee

Dah! yaani udhaifu wetu wote upo hapo kamanda, mimi samtaimu waifu akienda kazini nikiondosha nguo juani basi lile kufuli la waifu nikilishika tu naskia tanesco inafanya vitu vyake maeneo ya kusini ya suruali karib na zipu. Sasa hii miezi 5 duh! huyu lazima atakuwa nabii mpya tu
 
Dah! yaani udhaifu wetu wote upo hapo kamanda, mimi samtaimu waifu akienda kazini nikiondosha nguo juani basi lile kufuli la waifu nikilishika tu naskia tanesco inafanya vitu vyake maeneo ya kusini ya suruali karib na zipu. Sasa hii miezi 5 duh! huyu lazima atakuwa nabii mpya tu

aisee............... hebu kacheki "cingulate gyrus" mkuu
 
Back
Top Bottom