Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,263
Kuna mke wa jamaangu mmoja ambaye aliamwambia mumewe baada ya kutoelewana ndani..."Nimechoka, naenda kwa Mamaangu!"
Familia hiyo ilikuwa na Watoto 7.
Basi mumewe akamjibu..."Ni sawa tu, nenda kwa mama yako, Ila sasa hivi na mimi nimeamua kurudi kwa Mama yangu mzazi, lakini ili mambo yaende sawasawa, na hawa watoto wetu saba wote waende kwa mama yao!
Mke yule kusikia hivyo akamwambia mumewe ..."Yaani Una maana watoto waje kwangu sio!"...Basi nimebadilisha mawazo siendi popote!
Familia zetu hizi ziko flagile sana, hakuna upendo.
Alikosea alitakiwa kusema anaenda kwa baba yake! ili watoto wabaki na mume!! kazi kweli kweli