Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Jamaa kaamka asubuhi
sana Jumamosi, mvua
kubwa ikawa inanyesha,
pamoja na mkewe
kumsihi abaki kitandani
yeye akang'ang'ania
kuwa anaenda ofisini.
Akajitayarisha akatoka
nje akamwacha mkewe
keshapitiwa na usingizi.
Lakini kufika njiani hali
ilikuwa mbaya sana,
madimbwi, miti
imeanguka, akaamua
kurudi mwenyewe.
Kafika home kavua nguo
kaingia tena kitandani,
kamnong'oneza mkewe
aliyekuwa usingizini;
MUME: Yaani hali ya hewa
mbaya sana huko nje ni
balaa tupu
MKE: (akiwa bado
usingizini) Si ndio
nimemshangaa huyu
mpumbavu eti katoka
hapa kaenda
kazini.........KWA SASA MKE
YUKO HOSPITALI
sana Jumamosi, mvua
kubwa ikawa inanyesha,
pamoja na mkewe
kumsihi abaki kitandani
yeye akang'ang'ania
kuwa anaenda ofisini.
Akajitayarisha akatoka
nje akamwacha mkewe
keshapitiwa na usingizi.
Lakini kufika njiani hali
ilikuwa mbaya sana,
madimbwi, miti
imeanguka, akaamua
kurudi mwenyewe.
Kafika home kavua nguo
kaingia tena kitandani,
kamnong'oneza mkewe
aliyekuwa usingizini;
MUME: Yaani hali ya hewa
mbaya sana huko nje ni
balaa tupu
MKE: (akiwa bado
usingizini) Si ndio
nimemshangaa huyu
mpumbavu eti katoka
hapa kaenda
kazini.........KWA SASA MKE
YUKO HOSPITALI