huyu kaka ni actor wa kinigeria na hii ni ya filamu komedi. huyu alikuwa ni mdada anatoka nae kama g na b. basi akataka nadhani kuachana nae na ndio akamfuata barabarani alipokuwa anakimbia kazi ya chumbani mdada alikuwa anataka kila wakati. kitu kama mdada alikuwa muuzaji akaanza kutulia nae basi weeeee.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.