Ndebile
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 7,237
- 9,867
waislamu wa milama,bulembo pale kamachumu wanafurahia huduma ya ndolage hospital bila kusaau maeneo ya buganguzi wafurahia huduma ya rubya..hizo pumba wanaziendekeza waislamu wa kariakoo na bagamoyo.
bila kusahau Izimbya,Mwemage,Kishuro....hivyo ni vituo vya afya vya makanisa,mwanaJF sehemu vilipojengwa ukipaona huwezi kuamini....ni sehemu ambazo serikali ingewachukua karne nyingine mbili kuwekeza huko...hinter land!