Brightman Jr
JF-Expert Member
- Mar 22, 2009
- 1,225
- 232
Rais wa CWT na kaimu katibu wake watakuwa ndani ya TBC Taifa muda mfupi kutoka sasa katika kipindi cha asubuhi hii; kaa tayari kusikiliza kitakacho ongelewa.
Akiongea katika kipindi cha tuongee asubuhi cha TBC 1 leo asubuhi bwana Mkoba ambaye ni raisi wa chama cha walimu Tanzania amesema headmaster ktk shule moja ya sekondari wilayani Igunga amevuliwa madaraka kwasababu ya kushiriki mgomo.Pia amesema walimu kadhaa kutoka maeneo mbalimbali nchini wameondolewa kwenye sensa kufuatia maelekezo kutoka TAMISEMI kuwa walimu walioshiriki mgomo waondolewe kwenye zoezi hilo.Mkoba ambae aliambatana na msaidizi wake ktk kipindi hicho cha TBC 1 amehoji uhalali wa kufunga shule wakati walimu wameondolewa kwenye sensa na kusema kuwa hayo ni matumizi mabaya ya rasilimali watu.Mbali na headmaster huyo amedai pia walimu wengine wenye madaraka mbalimbali nao wameadhibiwa baada ya kushiriki mgomo ikiwa ni maagizo kutoka ngazi za juu.
Amezungumzia suala la kukataa rufaa? Au ndiyo ilikuwa changa la macho!
Akiongea katika kipindi cha tuongee asubuhi cha TBC 1 leo asubuhi bwana Mkoba ambaye ni raisi wa chama cha walimu Tanzania amesema headmaster ktk shule moja ya sekondari wilayani Igunga amevuliwa madaraka kwasababu ya kushiriki mgomo.
Pia amesema walimu kadhaa kutoka maeneo mbalimbali nchini wameondolewa kwenye sensa kufuatia maelekezo kutoka TAMISEMI kuwa walimu walioshiriki mgomo waondolewe kwenye zoezi hilo.
Mkoba ambae aliambatana na msaidizi wake ktk kipindi hicho cha TBC 1 amehoji uhalali wa kufunga shule wakati walimu wameondolewa kwenye sensa na kusema kuwa hayo ni matumizi mabaya ya rasilimali watu.
Mbali na headmaster huyo amedai pia walimu wengine wenye madaraka mbalimbali nao wameadhibiwa baada ya kushiriki mgomo ikiwa ni maagizo kutoka ngazi za juu.
Na naskia kuna mtu kauwawa kwenye ule msitu wa SIRIKALI akihusishwa na mgomo wa walimu!,
Amezungumzia suala la kukataa rufaa? Au ndiyo ilikuwa changa la macho!
Hawa wazugaji dawa Yao ni kuwang'oa CWT tumewasapoti ka kawaida Yao wametuchezea shere! Tayari wengine kwenye SENSA tumeshatolewa, hamna mabadilko yeyote kwenye MADAI yetu! Tushatishiwa kuhamishiwa huko Kiserian.. Kweli Mkoba umeniingiza Chaka, I hate you, na Sasa tutahamishia mapambano yetu CWT Kabla hatujawavaa serikali