Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,450
- 92,810
Hivi wale Madaktari wa Iran wako wapi? halafu ifike wakati sasa jeshi liseme sasa tunataka kuongoza na nchi na siyo kuwaita tu Serikali ikiwa imebanwa vilivyo.
Sasa hivi Mukoba yuko ITV anazungumzia kuhusu mgomo wa walimu na anasema ni halali. Mwl. atakayeenda kazini in msaliti kama wasaliti wengine waliowahi kutokea katka mapambano ya ukombozi
hata mahakama waje na kanusho hatuendi job aisee! tumechoka sana tena awaambie kabisaa kwamba na wanafunzi watatujaion soon ndipo watakapoona kwamba cwt yawweza kuwa chama cha uinzani chenye nguvu kuliko chama chocote kile.
Mkuu hiyo mikwara siku hizi tushaizoea kwa taarifa yako ni WAKUU WA SHULE TU ndio wapo shuleniMimi nilitegemea kupata update....
Kwani wamegoma kweli au wameogopa mkwara wa kitoto uliochimbwa na Ikulu....
Kwa watu ambao hawakupikwa kwenye tanuru la freedom square,...nina hakika huo mkwara utakuwa umetosha kuwafanya waendelee kulamba unga wa chaki.......
Sitaki kuwa Tomaso ila nadhani hawana guts za kuwakaribia Ma-Dr!!
Mukoba anasema kauli ya ikulu, yeye siyo Mahakama kwanini anaisemea mahakama. Mahakama ndo yenye kutoa kauli hiyo.