Kwani yeye ni wa kwanza kuolewa na mzee, au kwa kuwa mzungu ndiyo shida?
Wamasai wazee huwa wanaoa watoto wadogo sana lakini hamusemi kitu humu netini.
wazungu bana haoni soo kuitwa baby na mjukuu...lol
ww kweli kipofu ww unamini kuwa huyo binti kampenda huyo kibabu hahahahahajamani
kuchukua picha za watu innocent na kuposti humu sio vizuri,wwe unamuona
kibabu yeye kampenda hivyo hivyo...mnh
sio siku zote bwana,of coz tumegombana sana humu JF na nashukuru sana mungu hunijui lol,ungenijua wewe ungeninyanyasa sana lol
PhD ya London South Bank University!!!!!!ndio anamuonea wivu,NN alifeli fom foo na six,akaenda ughaibuni.yeye na wapiga boksi wenzie hawana level ya elimu aliyonayo shayo...wanamponda ili wafeel good inside kuhusu udhaifu wao....
PhD ya London South Bank University!!!!!!
ww kweli kipofu ww unamini kuwa huyo binti kampenda huyo kibabu hahahahaha
Mimi hata nikipewa full scholarship ya kusoma London South Bank University ni THANKS, BUT NO THANKSyap ni elimu,anajulikana kama msomi...unajua how much he paid
Kuna kipindi niliishi UK kwa muda.Sehemu nilikuwa ninapiga boksi kuliwa na wanaigeria watatu walikuwa wafanya zaidi ya siku tano na overtimes pia. Siku moja wakanialika mimi na stafu wengine kwenye sherehe ya graduation zao na yakurudi kwao.Tulibaki na maswali mengi sana.how much efforts he put in to attain that???
Afadhali Udom mara mia.Ukiapply kazi na cheti cha LSBU unampa employer perception wewe ni kilaza nani mtu wa kucheatukute hata kadegree ka hapo udom huna?
Mimi hata nikipewa full scholarship ya kusoma London South Bank University ni THANKS, BUT NO THANKS
Hiki chuo kimekuwa ni kimbilio la immigrants ambao dhumuni lao sio kusoma na wengi hata uwezo wa kitaaluma hawana. Hata wazawa wanaosoma hapo ni wale waliopata maksi za chini A'level hawana choice zaidi LSBU iliwaendelee kujimu na maisha.Ukitembelea iki chuo siku za masoma hakuna wanafunzi wengi lakini ngoja ifike siku ya graduation utadhania upo Lagos,kwa jinsi wahitimu walivyo wengi na asilimia karibia tisini ni wapopo.
Kuna kipindi niliishi UK kwa muda.Sehemu nilikuwa ninapiga boksi kuliwa na wanaigeria watatu walikuwa wafanya zaidi ya siku tano na overtimes pia. Siku moja wakanialika mimi na stafu wengine kwenye sherehe ya graduation zao na yakurudi kwao.Tulibaki na maswali mengi sana.
Hakuna neno "effort" pale, wewe lipa school fees cheti chako utapewa.System ya UK wanavyo fund hivi vyuo na ubora wa vyuo vingine ndio imechangia LSBU kucheat
Afadhali Udom mara mia.Ukiapply kazi na cheti cha LSBU unampa employer perception wewe ni kilaza nani mtu wa kucheat