Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
Kibabu dizaini kina mkwanja mrefu...umeona HSE hiyo...
Nyani Ngabu mbona washkaji wanasema unawaonea wivu vijana wenzako wakina shayo? wasije kusema unamuonea Kli wvu kaka
Kuna cha kumuonea wivu "Dr." Shayo?
Kama una mawasiliano naye mwambie niko tayari kwa mpambano wa kupima uzito wa wallet..
Wala simjui. nasema tu kwa maana naonaga unavyopenda kuponda. hata na vijana wengine unapondaga sana
Wala simjui. nasema tu kwa maana naonaga unavyopenda kuponda. hata na vijana wengine unapondaga sana
ndio anamuonea wivu,NN alifeli fom foo na six,akaenda ughaibuni.yeye na wapiga boksi wenzie hawana level ya elimu aliyonayo shayo...wanamponda ili wafeel good inside kuhusu udhaifu wao....
ndio anamuonea wivu,NN alifeli fom foo na six,akaenda ughaibuni.yeye na wapiga boksi wenzie hawana level ya elimu aliyonayo shayo...wanamponda ili wafeel good inside kuhusu udhaifu wao....
jestina nitakubaliana na wewe kwa manaa NN anavyomponda Dr. Shayo na yohana mashaka, mtu unashindwa kujua ni kwa sababu gani. ila sioni sababu ya mashaka kabisa, kwa maana yule yuko kwenye ligi nyingine. nimewahi kusoma article juu yake uchina wiki chache zilizopita. atakuwa na lake kusema mashaka naye kilaza anavyomsemea dr.shayo. kama ni hivyo anawaponda bila ya sababu basi ataponda sana kwa maana hatofika kuwa kwenye leveles zao
Ni kweli kabisa...mimi mbeba maboksi tu na kamwe siwezi kufikia level ya u-"Dr."
NN siku hizi umekuwa mpole,lol umeokoka????
Mi mbona siku zote niko mpole....kwani nimewahi kukukwaza?
sio siku zote bwana,of coz tumegombana sana humu JF na nashukuru sana mungu hunijui lol,ungenijua wewe ungeninyanyasa sana lol
Wagombanao ndo wapatanao Jestina...au we wasemaje?
lord have mercy
lord have mercy