Da Womanizer
JF-Expert Member
- May 24, 2010
- 1,577
- 148
Hivi wanawake hawakui; kila wakati ni kupingana vijembe tu. Mtu yupo mile elfu kidogo bado anawapiga na kuwagoga wenzake. Haya ni maisha ya kiswahili zaidi. Sijuikama Watanzania tutaendelea kwa hali kama hii ya kufikiria upuuzi na kuacha mambo ya maana kuyashughulikia na kuhangaika na upumbafu. STUPID!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Mkuu sio kwamba hawakui bali ndivyo walivyo ndiyo maana huwa nasema wanawake na wanaume si sawa. Tatizo tunajaribu ku-assume kuwa wanawake na wanaume ni sawa ndio maana tunajiuliza kama hawakui, hapo ishu sio kukua bali ndivyo walivyo hao teh teh teh