MUKE WA MUZUNGU! FULL MASHAUZI mweeh

Hivi wanawake hawakui; kila wakati ni kupingana vijembe tu. Mtu yupo mile elfu kidogo bado anawapiga na kuwagoga wenzake. Haya ni maisha ya kiswahili zaidi. Sijuikama Watanzania tutaendelea kwa hali kama hii ya kufikiria upuuzi na kuacha mambo ya maana kuyashughulikia na kuhangaika na upumbafu. STUPID!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Mkuu sio kwamba hawakui bali ndivyo walivyo ndiyo maana huwa nasema wanawake na wanaume si sawa. Tatizo tunajaribu ku-assume kuwa wanawake na wanaume ni sawa ndio maana tunajiuliza kama hawakui, hapo ishu sio kukua bali ndivyo walivyo hao teh teh teh
 
Inaonyesha wanamsema sema sana huyo dada ndiyo maana na yeye kaamua ku-retariate, si unajua tena bongo imeshaliwa na wenye midomo, maisha magumu hivyo walau kina dada wanapobahatisha angalau jizee la kizungu, inakuwa bora mara mia kuliko anahangaika kwenye clubs za dar, maisha yanakuwa ya kubahatisha sana.

Mi ningependa ku-wa-encourage akina dada wa bongo wazidi kulala nao mbele hao hao watasha ila wakiwapata, watulie na wa-behave kama married women. Watanzania wanaoishi huko majuu generally wana sifa nzuri mno, nenda nchi yeyote! Hivyo kina dada watafuteni hao watasha wale wa maana, ukimpata na ukishakuwa na uhakika kuwa kweli amekupenda, usilaze damu, CHOMOKA NA PIKIPIKI!
We kweli Abert Einstein nimekubali mwenyewe LOL
 
kuna wengine kufanyiwa vitu kama hivyo ndo wanaamini wanapendwa kweli lakini hawajui kuna wanaume kazi kama hizo ni normal tu kwao especial kwa wazungu
 
Hivi kuolewa na mdhungu ndo fashion ama?
naona imekua fashion siku hizi wadada wa kibongo wanataka watasha tu na si kingine,hata huku kwao akiwa ombaomba lakini ngozi ni nyeupe poa tu,hata kama katoka russia,ireland,poland,turkey wao wanaona shega tu.kwa mambo kama haya hawa watu wanaishia kukudharau wewe na ukoo mzima na mwisho waafrika wote mnadharaulika.
 
"Nimekupostia hizo picha coz kuna watu wanasema kuwa mume wangu
anasafili sana eti ananiacha peke yangu home so may be he doesn`t love
me. Sasa nataka kumuonyesha huyo bibie kuwa the man he is too much in
love with me!!"

huyu ni nani jamani, nae celeb?...kazi ipo kweli kweli, sasa hapo mbona hatatui tatizo bali anazidisha matatizo, hivi watu wanapatia wapi muda wakipuuzi namna hii, kusemwa mbona kupo tu sasa atapambana na wangapi?...
 
"Nimekupostia hizo picha coz kuna watu wanasema kuwa mume wangu
anasafili sana eti ananiacha peke yangu home so may be he doesn`t love
me. Sasa nataka kumuonyesha huyo bibie kuwa the man he is too much in
love with me!!"

huyu ni nani jamani, nae celeb?...kazi ipo kweli kweli, sasa hapo mbona hatatui tatizo bali anazidisha matatizo, hivi watu wanapatia wapi muda wakipuuzi namna hii, kusemwa mbona kupo tu sasa atapambana na wangapi?...

aaaah kosa mali upate akili !!!!
 
Ni kweli huyu dada inaelekea hata shule hana na zaidi ya yote akili za kuzaliwa hana.......i can imagine unatumia Forum yenye akili kama hii kwa mambo ya hovyo kama haya...... yataka moyo!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom