Bunge letu la Leo.
Kuna Mbunge amewaasi mawaziri wa maji wakazane, wabunge wengine wakaguna.
This is really low for someone sitting in a parliamentary house to interpenetrate things in a street Language.
Nyie wakaazi wa Kagera mnawajibika MKAZANE sana kwenye migomba.
Na nyie wa Moshi MKAZANE kwenye mikahawa.
Hapa kuna tatizo gani ? Mbona ni normal language!
Kwa mujibu wa Kamusi ya TUKI:
Kaza
1 fasten, tighten.
2 emphasize.
3 fix. mfano: kazamwendo = speed up; kazaroho = persevere.
maneno yanayoendana nayo:
Kazia;
Kazika;
Kazana;
Kazwa.
Kazana
1 be firm.
2 make an effort, exert oneself.
maneno yanayoendana nayo: kazania; kazanisha.
Sasa kuna tusi gani hapo?
.