Mukazane

Mlachake

JF-Expert Member
Oct 13, 2009
4,412
4,558
Bunge letu la Leo.

Kuna Mbunge amewaasi mawaziri wa maji wakazane, wabunge wengine wakaguna.

This is really low for someone sitting in a parliamentary house to interpenetrate things in a street Language.
 
Nyie wakaazi wa Kagera mnawajibika MKAZANE sana kwenye migomba.
Na nyie wa Moshi MKAZANE kwenye mikahawa.
Hapa kuna tatizo gani ? Mbona ni normal language!
 
Indeed, this is very low. Watu wanaweza kucheka ila inasikitisha mbunge kutafsiri maneno, tena kutoka kwenye maneno ya kujenga, kupeleka kwenye maneno ya kijinga.
 
Sijui kama mimi nilisikia vizuri au vibaya lakini nadhani hata M/kiti alimwomba arekebishe kauli yake! Lakini mbunge yule akaendelea kuongea na M/kiti hakumzuia tena.. Yaani we acha tu...

Jamani kina Roulette na wengine nani anakumbuka .... nadhani lilikuwa jukwaa la HHM .. Ambapo jamaa mmoja alianzisha uzi ambao within dk 5 umeshajaa pg 3!
Uliza sasa ilikuwaje.... Heading yake ilikuwa hivi... Kama kuna mtu anaweza akaitafuta URL yake...

''LEO NIMENUSURIKA KULIWA KWENYE TIGO PESA....''

Sasa ikawa kila anayeingia akisoma kidogo anamwambia badili heading, wakati kama mimi nilimwelewa vizuri tu... Wengine walidiriki kumwambia kuwa walikimbilia thread kwa fujo kumbe hakukuwa na cha maana... Wachangiaji walimwandama kama nini hadi akabadilisha heading,ingawa alikuwa discouraged sana! Na alilalamika sana kwa wachangiaji kuwa na mawazo potofu!

Yeyote aweza kuitafuta kwenye archives..
 
Last edited by a moderator:
Kwa mujibu wa Kamusi ya TUKI:

Kaza


1 fasten, tighten.
2 emphasize.
3 fix. mfano: kazamwendo = speed up; kazaroho = persevere.

maneno yanayoendana nayo:

Kazia;
Kazika;
Kazana;
Kazwa.


Kazana


1 be firm.
2 make an effort, exert oneself.

maneno yanayoendana nayo: kazania; kazanisha.

Sasa kuna tusi gani hapo?
.
 
ha ha ha .....mkuu wakazane kwamba waongeze bidii kwenye jambo fulani....hisia hasi ndizo ziliwafanya wagune
Bunge letu la Leo.

Kuna Mbunge amewaasi mawaziri wa maji wakazane, wabunge wengine wakaguna.

This is really low for someone sitting in a parliamentary house to interpenetrate things in a street Language.
 
ha ha ha... Judgement vipi kama ingekuwa hivi MKAZANE sana kwenye kilimo cha migomba...hapo tunaona kwamba neno moja tuu ukilitumia kwenye sentensi basi inalete maana isiyoyumbusha maana na kuleta maana tofauti.
Nyie wakaazi wa Kagera mnawajibika MKAZANE sana kwenye migomba.
Na nyie wa Moshi MKAZANE kwenye mikahawa.
Hapa kuna tatizo gani ? Mbona ni normal language!
 
Last edited by a moderator:
Nakumbuka hilo neno lilishawahi kutumiwa na Mama Kabaka wakati akiwa naibu waziri wa elimu,wabunge walicheka sana.Nafikiri baada ya hapo walienda ku-practice
 
Kwa mujibu wa Kamusi ya TUKI:

Kaza


1 fasten, tighten.
2 emphasize.
3 fix. mfano: kazamwendo = speed up; kazaroho = persevere.

maneno yanayoendana nayo:

Kazia;
Kazika;
Kazana;
Kazwa.


Kazana


1 be firm.
2 make an effort, exert oneself.

maneno yanayoendana nayo: kazania; kazanisha.

Sasa kuna tusi gani hapo?
.

Man unahitajika kwenye semina elekezi kwa wabunge
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom