Mimibaba
JF-Expert Member
- Jul 1, 2009
- 4,557
- 1,291
Amekosea nn sasa kusema ukweli ? hakuna kitu hapo kwenye thread yako aiseee
Nne kamdhalilisha Rais Kikwete ambaye zamu yake ilipofika yeye hakutaka kujiingiza kwenye ujinga wa katibu wake. Yeye amesema, ''Hapa ni mahali pa msiba, tumekuja kuwapa pole wafiwa na kuwaombea subira''
Huelewi nini au ndye paymaster wako? Ndiyo maana uelewa wenu ni sawa na urefu wa pua