Kuna taarifa kwamba Mukama amekutana na waandishi leo na amerudia tena taarifa yake kuhusu magamba na kuapa kwamba hakuna fisadi aliyesafishwa Dodoma na badala yake magazeti yamekua yakipotosha kwa maslahi yao.
Mbona mambo yanachanganya. Kila kukicha kuna matamko juu ya matamko!! Hivi Mukama amewataja hao mafisadi? Unajua CCM ni wajanja tunaweza tukawa tunadhani mafisadi wanaoongelewa ni akina ENL na EC tukashangaa wanaondolewa wengine kama Kilumbe Ng'enda!
Kuna taarifa kwamba Mukama amekutana na waandishi leo na amerudia tena taarifa yake kuhusu magamba na kuapa kwamba hakuna fisadi aliyesafishwa Dodoma na badala yake magazeti yamekua yakipotosha kwa maslahi yao.
Kuna taarifa kwamba Mukama amekutana na waandishi leo na amerudia tena taarifa yake kuhusu magamba na kuapa kwamba hakuna fisadi aliyesafishwa Dodoma na badala yake magazeti yamekua yakipotosha kwa maslahi yao.
Nguvu ya UMMA pekee ndo itawamaliza mafisadi. Wasifikiri hatuwajui, tunawajua na jinsi gani wanavyofisidi mali za nchi hii. Kuna watu wanamiliki mali ambazo hawawezi kuzitolea maelekezo.
Mafisadi wanatumia pesa zao chafu kuwalainisha wanausalama, kuna habari nyeti kwa mfano kwamba maaskari wenye vyeo wametengenezewa massage parlour Upanga na Tanil yule fisadi mwenye kasri pale opposite na Harambee house. Kaajiri wasichana wa kichina wanaowachua hawa wazee walinda usalama wa taifa. Kwa hiyo na hawa waliopewa huduma na Tanil nao ni mafisadi, wakae wakijua kuwa siku jogoo akiwika saa sita usiku wa manane watakoma.
Kuna taarifa kwamba Mukama amekutana na waandishi leo na amerudia tena taarifa yake kuhusu magamba na kuapa kwamba hakuna fisadi aliyesafishwa Dodoma na badala yake magazeti yamekua yakipotosha kwa maslahi yao.
Wana maudhi kweli hawa watu!wakakojoe walale sasa........... wakiwa nje ya vikao wanaongea kama kware, wakifika vikaoni wanapiga makofi na kubeba folders za kinafiki
Kama magazeti yamekua yakipotosha kwa maslahi yao? Yeye Mukama anasema nini kama sio maigizo tu kila siku? Atamke wazi wazi kuwa mafasadi watakao ngolewa CCM ni hawa.Kuna taarifa kwamba Mukama amekutana na waandishi leo na amerudia tena taarifa yake kuhusu magamba na kuapa kwamba hakuna fisadi aliyesafishwa Dodoma na badala yake magazeti yamekua yakipotosha kwa maslahi yao.