Katibu Mkuu wa CCM Bw Wilson Mukama ametetea matusi yaliyoporomoshwa na mgamba mwenzake Masinde, akisema alikuwa akijibu mapigo ya wapinzani wao CDM wakati wa kampeni Arumeru Mashariki.Swali ni je Mukama akipewa matusi kama yale atayavumilia na je mwenyekiti wao mnafiki yaani JK anakumbatia haya matusi yasiyokubalika kwenye jamii.
Kumtetea 'Mh'. Lusinde kuwa maneno machafu aliyosema wakati wa kampeni eti ni kujibu mapigo, kwa vyovyote vile atakaye fanya hivyo atakuwa anajitahidi kuudhirisha ulimwengu kuwa ni "mwendawazimu limbukeni"
Lusinde na matusi yote mbele ya wazazi wote wa arumeru na taifa kwa ujumla na heshima zao, na watoto woooote walikuwa wakifuatilia matumbuizo yote ya kina kitumbo wamejifunza nini kupitia Magamba?? Leo akiambiwa atoe ushahidi wa lema kuolewa rumande anaweza sema nani alimwoa,
This Lusinde looks like Dead body, Kweli sijamwelewa..Is better than stupid man ....Takataka ndani ya bunge inatakiwa ifagiliwe na kutupwa mbali kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.